Naomba mwenye uzoefu kuhusu huduma za Equity Bank Tanzania katika maeneo yafuaayo:
1. Huduma kwa wateja (Customer Care)
2. Huduma ya kuweka na kutoa fedha kwa kutumia Bank Taller
3. Huduma ya ATM
4. Huduma ya Mikopo
5. Huduma ya kufungua akaunti
Zamani enzi za ujima kabla ya ujio wa hizi dini za mapokea mababu zetu waliishi kwa amani na upendo huku wakiheshimiana na kuvumiliana.
Walikuwa wakiamini kwamba binadamu wote ni sawa na kila mmoja alikuwa akimthamini mwingine siyo kwa kile alicho nacho, bali kama binadamu aliyekamilika...
Wanawake bwana, wanashangaza sana.
Huyu binti ndio kwanza nimemtongoza na hata hatuja Do, lakini jana ananijia na hiyo kauli.
Mtu anajua kabisa nina familia ya mke na watoto na nina majukumu ya kutunza familia halafu ananijia na kunibania pua!
eti:
"Mama yangu yu mgonjwa kweli na anatakiwa...
Eti ni kwa sababu kikao cha ukoo kilichokaa juzi kimeamua nimrithi mke wa marehemu kaka yangu aliyefariki mwezi uliopita kwa ajali ya gari.
Kwa mila na desturi zetu inaruhusu mdogo mtu au kaka mtu kumrithi mke wa ndugu yake pale anapofariki. Sasa namshangaa mke wangu kanuna wiki sasa anataka...
Mara nyingi kanatega mitego yake hapo Kijiijini Nyololo Iringa kuwavizia madereva wa malori wanaosafiri kati ya Tanzania na nchi za Zambia, Rwanda au Burundi. Ni kabinti kazuri kwa sura na umbo la kuvutia na kanaonekana dhahiri kwamba kana umri wa chini ya miaka 18.
Mavazi yake mara zote ni...
Mke wangu amejiunga na VICOBA na pia NGO moja ya mambo ya kuwawezesha wanawake kibisahara. Amekuwa akisafiri mara kwa mara kwenda mikoani kwenye semina za hiyo NGO yao. Nimekuwa nikilalamika sana kuhusu hiyo tabia yake mpaka tukapelekana kwa wazazi na akaahidi hatosafiri tena.
Miezi miwili...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 37 na nina mke na watoto watatu sasa. Kikazi mimi ni mtumishi serikalini na mke wangu by Professional ni mpishi na pia anao ujuzi kidogo wa ushonaji. Mke wangu alikuwa na ndoto za kumiliki biashara ya Catering wakati namuoa kwa sababu aliwahi kufanya kazi kwa...
Ni jirani yangu na wakati nahamia katika nyumba ninayoishi nilimkuta akiwa na mwanamke ambaye nilijua ni mkewe Baadae yule mwanamke akamwambia mke wangu kuwa yule mwanaume anaye mkewe ambaye walioana na kuzaa naye watoto wawili, na walidumu katika ndoa kwa miaka saba na kutengana hivyo akarudi...
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89
-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja
-Ni nyumba mbili kwa moja, kila upande una vyumba viwili, master, sebule, kitchen, dinning, stoo, choo na bafu...
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89
-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja
-Ni nyumba mbili kwa moja, kila upande una vyumba viwili, master, sebule, kitchen, dinning, stoo, choo na bafu na...
Bila shaka mtakubaliana na mimi kuwa hali ya hewa kuanzia mwezi wa Mei hadi huu Julai ni muafaka kwa watu kujamiiana na hivyo kuifanya miezi hiyo kuwa kama ndio breading season, especially kwa wakazi wa ukanda huu wa Pwani ikiwemo Dar.
Ukipita mahospitalini hivi sasa utakuta idadi ya wanawake...
Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za Yesu.."
Konda: "Vipi wewe, Yesu bado hajatoa album..."
********************************
Abiria: "Kuna Kiti au unasema panda tu!?"
Konda: "hao wengine wamekalia ndoo?! "
*******************************
Abiria: "Embu punguzeni sauti ya...
Ni mtoto wa kaka yangu, na amezaliwa na kukulia Dar, mimi sikuwa karibu naye na ni msiri sana. Nimekuwa nikizungumza naye mara kwa mara lakini sio muwazi na hiyo ilitokana na yeye kujiwekea mipaka.
Amesoma hapa nchini na nje ya nchi katika moja ya nchi za Scandinavia na sasa ni mwajiriwa...
Hata sijui sababu ni nini, maana kama ni kula nakula vizuri tu na mke wangu anajitahidi kunipikia mapochopocho mpaka basi lakini mwili wangu hauridhiki sijui kwanini, yaani nimekuwa na maumbile madogo wala sinenepi kabisaa mpaka ndugu zangu wanahisi kwamba huenda mke wangu hanipi chakula na ndio...
Niko huku kikazi na nimebahatika kutembelea miji kadhaa kati ya hiyo hapo chini.
Baragoi
Bungoma
Busia
Butere
Dadaab
Diani Beach
Eldoret
Embu
Garisa
Gede
Hola
Homa
Isiolo
Kajiado
Kakamega
· Kakuma-Kakuma is the Swahili word for "nowhere", epitomizing the seclusion of the area.
Kapenguria...
Kwa wadau wote wa FAJI na waliokuwa wapenzi wa Gazeti la JITAMBUE. Mke wa Hayati Munga Tehenan na wana FAJI, watafanya kumbukumbu ya kifo cha MUNGA TEHENAN. Shughuli hiyo itafanyika katika msikiti wa Kimara na sadaka ya chakula itatolewa katika ofisi za Faji Kimara Rombo.
Bajeti kwa wageni...
Kama ukichunguza kwa mfuatano, tukio la hivi karibuni la Lulu kuhusishwa na mauaji ya Kanumba, siamini kama hilo linaweza kuzusha mshangao.
Binti kama Lulu kwanza amelelewa na malezi ya upande mmoja, yaani kalelewa na mama yake tu ..na wakati bado akihitaji malezi ya karibu kutoka kwa mama...
Kwa mujibu wa Takwimu ya mwaka 2002 Tanzania ina idadi ya watu wapatao Milioni 34, na kwa idadi hiyo, idadi ya wanawake ipo milioni 17 na ile ya wanaume ipo Milioni 16. Mpaka hapo kuna ziada ya idadi ya wanawake inayokadiriwa kufikia milioni 1. Hata hivyo inasemekana hadi kufikia mwaka 2010...
Wanajamvi wenzangu, katika kupambana na hali ngumu ya maisha, nimejiingiza kwenye fani ya uigizaji, na filamu yangu ya kwanza kushiriki inatoka wiki ijayo, inaitwa In the Line of Death
Katika filamu hiyo nimecheza kama kubwa la maadui na nimeuwa kinyama kama yule mcheza muvi wa Kimarekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.