Search results

  1. TataMadiba

    Pongezi 12 kwa Rais Samia

    Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - KAZI IENDELEE Ni ukweli usiopingika kuwa Salamu hii imebeba maana na uhalisia wa kazi Iendelee kutokana na mambo mazuri yanayofanywa na Serikali chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa uchache hizi ni pongezi kwa...
  2. TataMadiba

    Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Oktoba 3 tutatangaza Mgombea wa Urais atakayewakilisha Upinzani

    1. Huu Muungano hauna Madhara kama ilivyokuwa Muungano wa UKAWA. 2. Wafuasi wa ACT-walimeguka kutoka CHADEMA 2015, Wengi wao hawatakubali kula matapishi yao kwa sababu tu ZITTO amewasaliti, badala yake watampigia kura Jembe JPM. 3. Wana CUF waliompigia kura Lowassa mwaka 2015, wengi watampigia...
  3. TataMadiba

    Uchaguzi 2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

    TUSIMWACHE LISU ATUAHIDI YASIYOWEZEKANA. Na Thadei Ole Mushi. Kwenye kampeni za Lisu ana Mambo makubwa mawili anayowaomba watanzania wamchague nayo. Moja ni malalamiko yake ya kupigwa risasi hii Kwake Ni Kama Kete ya kuwaomba watanzania wamuonee huruma aingie Ikulu. Jambo la Pili ni Sera zake...
  4. TataMadiba

    Uchaguzi 2020 Baada ya kumsikiliza Tundu Lissu akiwa kwenye mkutano wa ACT-Wazalendo, nimejiridhisha ni mgombea dhaifu zaidi awamu hii

    Amesema: 1. CHADEMA wataisaidia ACT-Wazalendo kushinda Zanzibar 2. Baada kupona akiwa Ubelgiji ametembea sana na kwamba Tanzania ya Magufuli haina rafiki hata mmoja nje eti Mkapa hakuzikwa na mataifa ya nje 3. Wakienguliwa kugombea wataingia barabarani 4. Chadema wameweka wagombea...
  5. TataMadiba

    Kauli ya Lema kuwa angekuwa serikalini wangeingia dili la siri na Laizer kuna kitu cha kujiifunza, lakini pia tumpongeze Rais Magufuli kwa uwazi

    Nimesikiliza mahojiano kati ya Mwandishi wa habari na Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema kuhusu Serikali kununua mawe mawili ya Madini ya Tanzanite ya Bilionea Aniniu Laizer kwa Tshs. Bil.7.8. Hakika nimesikitishwa na kauli ya Lema kuwa angekuwa Serikalini wangeingia dili la siri na...
  6. TataMadiba

    Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

    Zitto anatapatapa. Hivi vyuo viko chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto.
  7. TataMadiba

    Tujikumbushe Zitto alipompinga Lissu na kusema kuomba nchi inyimwe misaada ni uhayawani

    Hii ilikuwa ni Mwaka 2017. "Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amekuja juu na kutoa ya moyoni akionekana kutofurahishwa na taarifa iliyosambaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandaoni ikitokea Chama cha demokrasia na maendeleo- CHADEMA" Kauli za Zitto zilifuatia taarifa...
  8. TataMadiba

    Wazungu wana akili, wameweka mtego, wakifanikiwa hili la mimba mashuleni wanakuja kwenye lengo lao hasa, Ushoga!

    Zamani walikuwa wanarudi hizo shule za Serikali? Magufuli kawaweza kwelikweli mnatapatapa hovyo
  9. TataMadiba

    Wazungu wana akili, wameweka mtego, wakifanikiwa hili la mimba mashuleni wanakuja kwenye lengo lao hasa, Ushoga!

    Hyo sheria ilitungwa mwaka gani? Hao akina Zitto wako bungeni miaka nenda miaka rudi leo ndo wanaiona baadfa ya Magufuli kudhibiti mianya yao ya kutuibia?
  10. TataMadiba

    Wazungu wana akili, wameweka mtego, wakifanikiwa hili la mimba mashuleni wanakuja kwenye lengo lao hasa, Ushoga!

    Ndiyo wanajua kuna Watanzania Majuha wanawaunga Mkono . Najiuliza hivi hawa Watoto wanaopata ujauzito Mashuleni wameanza kuzuiliwa kurudi awamu hii? Nakumbuka wakati nasoma kuna wanafunzi walikuwa wakipata ujauzito, wanachukuliwa na gari la shule chini ya ulinzi wa Matron wa shule na Polis hadi...
  11. TataMadiba

    Mwigulu Nchemba Kuropoka Unamuharibia Rais

    kuna mambo mengine yanakera hasa kwa mtu mwenye uchungu na nchi yake kama Mwigullu. Hata mimi nasema wanaotetea ujinga huu wa watoto wa kike kupata mimba na kurudi shuleni ni wapumbavu, Tangu enzi za Serikali ya awamu ya kwanza hadi ya nne , Mwanafunzi alikuwa akpata ujauzito ni nyumbani moja...
  12. TataMadiba

    Kafulila amjibu Zitto; Rais Magufuli yupo mstari sahihi Sekta ya Madini

    Na David KAFULILA. Awali sikutaka kuandika chochote kufuatia upotoshaji kuhusu makubaliano ambayo kama Taifa tumepata na tunaendelea kupata faida kubwa kufuatia makubaliano yenye faida za pande mbili kati ya Serikali yetu chini ya Mhe.Rais. Dr John Pombe Magufuli na Kampuni ya Madini ya...
  13. TataMadiba

    Nchi za Ulaya, Marekani na asia ziliendelea kiuchumi na kiteknolojia kutokana na kuwafuta kwenye mfumo wapinga maendeleo aina ya Zitto Kabwe

    Imeelezwa na mojawapo ya Magazeti makubwa duniani la Financial Times kwamba, mbunge wa Kigoma mjini Mhe. Zitto Kabwe, ameiandikia Benki kuu ya dunia barua ya siri, ambayo pamoja na mambo mengine anaiomba Benki hiyo kutoipa Tanzania mkopo wa dola milioni 500 kwa ajili ya kuboresha Elimu nchini...
  14. TataMadiba

    Rais Mugufuli atakumbukwa na vizazi vingi wa Watanzania

    Lissu muulizeni Dereva wake anajua nini kilikuwa kinaendelea huko CHADEMA, amshukuru tu Mungu yangemkuta ya CHAHCHA WANGWE
  15. TataMadiba

    Kweli Zitto Kabwe wa Buzwagi akikutana na Zitto Kabwe huyu itakuwa ni vita ya 3 ya dunia

    Nimesoma andiko linalodaiwa kuandikwa na Zitto Kabwe akihoji kama Rais Magufuli amemtumbua Kangi Lugora kwa kusaini Mkataba ambao "haujapita Bungeni," mbona kuna mikataba mingi "haijapota Bungeni" na watu hawajachukuliwa hatua??? Kama kawaida yake Zitto akataja mifano ya yale yale makubwa ya...
Back
Top Bottom