Search results

  1. Asante

    Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

    Msaada wataalam. Vidole vya mikono yangu vimeshindikana kusomeka kwenye mashine za biometric wakati wa kusajili laini za simu, nimejaribu zaidi ya vituo 4 lakini imeshindikana. Naomba msaada ni kitu gani kinasababisha hali ya aina hii kujitokeza, na nifanye nini au nile vyakula au dawa za aina...
  2. Asante

    Kimbunga kipya kutokea. Kimepewa jila Savannah

    Kimbunga kilichoanza kujijenga katikati ya bahari ya India baada ya kimbunga Idai kupita kimepewa jina; kwa sasa kinajulikana kama Savanna cyclone. Savanna bado hakijaanza kutembea, lakini mzunguko wake ni wa wastani wa kilomita 162 kwa saa, ambazo pepo zake zimezuia mawingu yaliyokuwa yalete...
  3. Asante

    IMPALA Beer: Msumbiji wazalisha beer ya mihogo

    Msumbiji wameanza kuzalisha kinywaji cha Impala beer kwa kutumia mihogo. Hadi sasa Impala ndicho kinywaji kinacho pendwa na wananchi wengi kwani watu wenye kipato cha chini wanamudu bei yake, na kwa sasa Impala inashika nafasi ya tatu kwa idadi ya wateja. Kilimo cha mihogo kwa sasa kimeingia...
  4. Asante

    TANESCO Mtwara: Mgao wa umeme umeanza rasmi

    Majenerata 7 kati ya 9 ya shirika la umeme Tanesco yameharibika, yamebaki majenerata 2 yenye uwezo wa kuzalisha 4 MW za umeme ambazo ni mdogo mno. Mgao wa umeme umeanza rasmi Mtwara na Lindi na leo watatoa ratiba ya mgao wa umeme
  5. Asante

    Naomba michango yenu, wapi na ni nani ananunua ufuta na kwa bei gani

    Wakulima wengi kwa sasa wanavuna ufuta mashambani, soko zuri la ufuta bado ni changamoto kwa wakulima wengi wa mkoa wa Pwani. Naomba michango yenu, wapi na ni nani ananunua ufuta na kwa bei gani. Asante
  6. Asante

    BWAMA Kisarawe: Mapigano kati ya wakulima na wafugaji yameanza.

    Mapigano kati ya wakulima wa kijiji cha Bwama tarafa ya Kibuta wilaya ya Kisarawe na wafugaji wa ng'ombe waliojulikana ni wa makabila ya Wamang'ati na Wamasai yameanza rasmi leo. Wafugaji hawa wanakisiwa kuwa wamehama kutoka mikoa ya kusini wakitafuta malisho na maji kwa ajili ya mifugo yao...
  7. Asante

    Michelle Obama: a first lady with style

    Michelle Obama:more picture
  8. Asante

    OBASANJO FARM

    Chief Olusegun Obasanjo is not only a retired army officer, former head of state and politician, he is also a successful farmer. He owns Ota Farm, which is also called Obasanjo Farms. The large farm was formally opened on October 8, 1979, a week after Obasanjo handed over power to a civilian...
  9. Asante

    Loan Calculator

    This mortgage loan calculator - also known as an amortization schedule calculator - lets you estimate your monthly loan repayments. It also determines out how much of your repayments will go towards the principal and how much will go towards interest. Simply input your loan amount, interest...
  10. Asante

    Safari ya Mtwara hadi Songea

    Waungwana ninatajia kusafiri mikoa ya kusini ya Lindi, Mtwara na Ruvuma kikazi; kusudio la waraka huu ni kuomba kupatiwa taarifa kwa yeyote anayeijua barabara inayotoka Masasi, Nanyumbu, Tunduru hadi Songea kama inapitika kipindi hiki cha mvua, na kama inapitika ni basi gani zuri linalofanya...
  11. Asante

    Pesa za RADA pamoja na Pesa za BUNGE

    PESA YA RADA ZAIDI ya shilingi bilioni 72 zilizorudishwa kutoka kwenye “chenji” ya rada zimeelekezwa kwenye kusaidia malengo ya Wizara ya Elimu na Ufundi katika kiwango cha elimu ya msingi.Hususani manunuzi ya vitabu na madawati katika shule za msingi Tanzania Bara. Pesa hizo zililejeshwa...
  12. Asante

    Vitabu Vitakatifu Mtandaoni Vyadukuliwa

    Zaidi ya Apps 348 za Biblia za mitandaoni zakutwa na Vijidudu vya Kijasusi Nyingine 54 za Quran nazo zabainika kufanya ujasusi katika nchi 36 duniani Je Wewe ni mtumiaji wa Apps za vitabu vitakatifu (Bible na au Quran Apps)? Kama jibu ni ndiyo, unaweza kuwa mmoja wa watu ambao simu (au iPad)...
  13. Asante

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Rais Kikwete mwaka jana alifungua kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu pale dawa hiyo inapowekwa kwenye madimbwi ya maji. Kiwanda hiki kiko chini ya NDC na ujenzi wake ulidhaminiwa na nchi ya Cuba na tuliambiwa uzalishaji ungeanza rasmi...
  14. Asante

    Magari ya serikali na matumizi ya hovyo

    Katika eneo ambalo serikali inapoteza pesa nyingi za walipa kodi ni katika kuhudumia magari yake. Imekuwa ni jambo la kawaida sana kwa mawaziri, manaibu waziri, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa/wilaya na wakurugenzi wa idara wanapoteuliwa kushika nafasi hizo, familia zao nao wanakuwa ni sehemu ya...
  15. Asante

    "Doctor" Manyaunyau

    Jongo Salum (Manyaunyau) When the election comes, this is when us witchdoctors get a lot of respect, as all these politicians come running to us. Brutal black magic in Tanzania's election - Al Jazeera English
  16. Asante

    Ancient reptile with 'ridiculously long neck' unearthed in Alaska

    The long-necked elasmosaur as imagined by Anchorage-based artist James Havens, who is working with Druckenmiller to realistically interpret ancient life forms. (James Havens, courtesy of UAF) The fossilized remains of an ancient marine reptile with an extremely long neck and paddlelike...
  17. Asante

    Cybersecurity Bill Could Threaten Users' Privacy

    The Department of Homeland Security (DHS) recently claimed that a controversial new cybersecurity bill could threaten privacy protections, and this claim may return the bill to the floor of the Senate. The Cybersecurity Information Sharing Act (CISA) suggests to grant broad latitude...
  18. Asante

    Natafuta PAYE tax table

    Naomba aliye na rate mpya za PAYE anipatie au link yenye hizo rate.
  19. Asante

    NASA's Kepler Mission Discovers Earth's 'Cousin'

    NASA scientists have discovered an Earth-like planet some 1,400 light-years away orbiting a star similar to the sun, they revealed during a press conference Thursday morning. The newfound planet, named Kepler-452b, is the smallest planet yet discovered orbiting the habitable zone of a G2-type...
  20. Asante

    Data Entry

    Anatakiwa kijana kwa kazi ya data entry. Awe na uelewa wa bookkeeping Awe anajua kutumia mfumo wa mahesabu wa Sage Pastel Kazi ipo mkoani
Back
Top Bottom