Habari wana MMU kaswali kangu ka dogo kwa wale tuliojaaliwa watoto hasa ambao bado ni under 3.
Ni sahihi kujiachia mbele ya mtoto hasa ukiwa umetoka kuoga.
Mfano mwanangu ana miaka2 yeye nilimfundisha kuficha (joa) nikimaanisha kikojoleo au dushelele lake siku hio nimetoka kuoga nikavaa pichu...
Jamani nauliza mana nilikuta sehemu wanabishana,
kati ya mwanaume na mwanamke yupi anaweza kukaa muda mrefu bira kufanya gegedo. wanaume walisema wao wanaweza na wanawake wakajinadi kua wao wanaweza
swali je ni nani zaid mana humu kunawadau wengi na wenyemitazamo na mawazo tofaut mnaweza...
Nimeanza kumsikia jenifa mgendi (mwimbaji wa nyimbo za injili) tokea niko mdogo sana hata shule sijaanza.
Cha kusikitisha had sasa naona kama wanamuonea. Sijamsikia kwenye matamasha wakimjumuisha wala popote japokua bado anaimba.
Hakuna mkubwa humu wote Mambo.
Jamani hii kweli imenitokea nikiwa na miaka kama6 hivi wakati naishi na shangazi angu R.I.P aunty nilikua kikojozi mno haipiti siku1 au2 naumwaga.
siku hiyo nimelala usiku ghafla nikashtuliwa na kitu kinachezacheza kunako kiuno ile nashtuka nakuta chura mzima...
mf:
1. Arushaone nahic atakua ni mtu asiyenyoa ndevu. pia atakua anapenda kuvaa suti koti na suruar tofaut.
2. Mamndemi ni mmama mwenye watoto na mwenye staha ila akiwa humu anajiche2a
3 Mzizi mkavu na Mr Rocky ni wa2 wa makamo wanaejiheshimu sana
5. kiwatengu, Madame B hawa wanapenda...
humu kunamajukwaa tele zaid ya 40
hv jukwaa gani ambalo unalisikia ila hujawahi hata kutupa mchango wako pale. mfano wangu jukwaa la siasa, dini, kenya forum n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.