Rahabu
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 5,525
- 3,316
Hakuna mkubwa humu wote Mambo.
Jamani hii kweli imenitokea nikiwa na miaka kama6 hivi wakati naishi na shangazi angu R.I.P aunty nilikua kikojozi mno haipiti siku1 au2 naumwaga.
siku hiyo nimelala usiku ghafla nikashtuliwa na kitu kinachezacheza kunako kiuno ile nashtuka nakuta chura mzima sio mdogo sana amefungwa katika papuchi jamani
Sio utani tokea mwaka ule hadi leo ni 27 sijawahi kukojoa kitandani.
Naimani watoto wa ant kama wapo humu wataelewa ninacho sema.
we umeacha kwa stail gani
Jamani hii kweli imenitokea nikiwa na miaka kama6 hivi wakati naishi na shangazi angu R.I.P aunty nilikua kikojozi mno haipiti siku1 au2 naumwaga.
siku hiyo nimelala usiku ghafla nikashtuliwa na kitu kinachezacheza kunako kiuno ile nashtuka nakuta chura mzima sio mdogo sana amefungwa katika papuchi jamani
Sio utani tokea mwaka ule hadi leo ni 27 sijawahi kukojoa kitandani.
Naimani watoto wa ant kama wapo humu wataelewa ninacho sema.
we umeacha kwa stail gani