Kwa wengi Hushpuppi alionekana kuwa ni mfano halisi wa mtu aliyefanikiwa,mtafutaji aliyezikamata pesa za kutosha na kutokuzionea huruma katika kuzitumia, kwenye akaunti yake ya instagram yenye followers million 2.4 na ikiwa na tiki ya sawati(blue) kumejaa picha za kuvutia za Hushpuppi, akiwa...
Uogozi siku hizi umekuwa kama fasheni ya nguo, ndiyo maana kila leo utasikia mara huyu anatanganza nia mara nitagombea ubunge,udiwani mara uraisi. Hii imekuwa kama biashara huria kwa wasaka tonge kujichangulia anapoona pata mfaa kuinusuru njaa yake, lakini kimsingi ukichunguza kiundani hauoni...
Kila mara wanawake wamekuwa wakilaumu na kuwaona kama wanaume siyo watu kutokana na tabia mbalimbali zinazojitokeza katika mahusin na maisha ya kawaida.
Mwanaume amekuwa akiongelewa vibaya kila jina baya anaitwa, lakini pengine wanaotupa hizi lawama na kuwachukia wanaume wanashindwa kujua nini...
Daima upendo una sura mbili, japo wengi wanaijua moja wakati wa raha,faraja,kujirusha na zawadi kedekede wanaridhika na upendo huo, ila upendo unakipimo chake wakati wa shida waraha na wakati wa magonjwa wakati ambapo watu huona tabia kasoro na mapungufu yako hapo ndipo upendo hupimwa, yule...
Muda wingi huwa najiuliza mbona watoto wakike wanakuwa wagumu linapokuja swala la kujitegemea kimaisha kwa maana ya kupanga nyumba na kuanzisha maisha? pengine nikafikiri labda ni waoga wa maisha, lakini jibu likaja hapana maana kuna wengine unakuwa wamemaliza masomo, wanakazi nzuri mishahara...
Asanteni kwa kuja, siyo jambo kubwa sana ila nakumbuka tu siku ya kuzaliwa kwangu iliyo muhimu, nasema ni muhimu kwa kuwa ya kufa siijui hivyo sina budi kwendelee kuikumbuka hii ambayo ndiyo siku niliyoona uso wa dunia miaka ya nyuma huko, nilitamani kila mmoja ajue nimetimiza miaka mingapi ila...
Hizi software ndio zinaaminika katika mpango mzima wa ku-track WhatsApp.
Stealth genie
Mobile spy
Mobistealth
Mspy
Spy bubble
Swala lililopo ni kwamba zinapatikana lakini mpaka ununue, nimejaribu kuzisaka walau nipate link ambayo inawezakuwa imezitoa bure moja kati ya hizo mwisho wake...
Mara nyingi faraja ya mwanaume ni kupata mwanamke alietulia katika mahusiano, inapotokea bahati mbaya akapata ambae yuko kinyume na hivyo basi huwa anatafuta njia ya kujikinga na maumivu ya kimapenzi ama kumfanya mke au mpenzi wake atulie katika mahusiano.
Katika hili kila mwanaume huwa ana...
Baada ya mahusiano ya miaka minne ya uaminifu na upendo kwa binti mmoja hivi jina kapuni, ndipo safari yangu ya kuto mwamini tena mwanamke katika mahusiano ilipoanzia kutokana na kile alichonifanyia.
Katika maisha yangu ya mahusino na huyo binti, nilikuwa mwaminifu sana pia nilimwamini kupita...
....:::Mulika mwizi wa mapenzi:::....
Walishasema vipo vya ku-share lakini sio mapenzi maneno ya wahenga hayo.
Katika mahusiano ya kimapenzi hakuna kitu kinachouma kama unapogundua kuna mtu unachangia nae mapenzi kwa mtu unayempenza....HAPA LAZIMA MIGUU KUTETEMEKA KICHWA KUUMA ROHO KUDUNDA...
Mapenzi Yakinoga
Jamani usiombe mapenzi yakakunogea utatamani ugandane na mpenzi wako kila mahala.
Katika kona kona za mapenzi mapenzi leo nimekuta na hii kitu.
Mara nyingi watu wanapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi huwa wanaaminiana kupita kiasi hata kama hawakuwahi kuchunguza afya zao...
Kuna jambo moja naomba leo nilisema hapa.
Mara nyingi tumekuwa tukikutana hapa kwaajili ya kubadilishana mawazo na kupeana uzoefu wa mambo mbali mbali tunayokumbana nayo katika maisha ya kila siku, Kiufupi ni mahala muhimu sana kutoka na uzito wa mambo yanayojadiliwa hapa, kupitia mada...
..::Kazi kweli kweli::..
Niliwahi kusikia huu msemo sehemu fulani basi nikajua kila sehemu utakuwa na maana na ukiutumia utakufumbua macho na kukuonesha kilicho mbele yangu.
Kuna wakati nakumbuka uliwahi kunisaidi sana msemo huu baada ya kuingiwa wasiwasi kwenye issue fulani hivi ambayo jamaa...
..::Kazi kweli kweli::..
Kuna jamaa yangu alikuwa ni mtu wa kubadili sana mabinti, kiukweli jamaa alikuwa anachukua mabinti wakali sana(wazuri) kwa kale katabia kake kakanifanya nitake kujua nini siri ya yeye kumilikini mabinti wazuri, ujana kweli unamambo mengi kila ukionacho wataka kujua...
Kwa taarifa nilizopokea masaa kadhaa yaliyo pita mpaka sasa kutoka kwa huyu member hali yake sio nzuri kiafya. Tatizo kubwa linalo mkabili ni homa, iliyo muanza usiku wa kuamkia leo.
Muda huu anaendelea na matitabu lakini pia maombi yenu ni mhimu, baada ya taarifa hii natanguliza maombi yangu...
Shirika la Save the Children lenye makao yake jijini London Uingereza, linakadiria kuwa wanawake 800 na watoto wadogo 18,000 hufariki kila siku duniani kutokana na sababu ambazo zinaweza kuzuwilika. Ripoti ya shirika hilo yenye kichwa cha habari cha "Hali ya kina mama wa dunia" imesema ni...
Sijui nianze kwa kusema ni wivu au ndiyo mambo ya upendo na kujali, nakosa cha kuanza nacho ila leo inabidi tu tuambizane huwa mnatuwazia nini..
Kuna katabia fulani hii kwa kiasi kikubwa wanako hawa wake zetu na wapenzi wetu.
Hivi huwa mnatufikiria vipi inapotokea unapiga simu halafu mumeo au...
Kila kukicha utasikia fulani katendwa mara hivi na vile yani vagalanti patashita vilio haviishi kila siku.
Kuna jambo ambalo lina wagharimu wengi mnapoingia katika mahusiano, mnajenga matalajio makubwa pasipo kujua unaeingianae katika mahusiano ana malengo gani na wewe, kuna wengine huwa...
Kwa kuanza kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nitakuwa natoa hapa elimu juu ya marekebisho ya simu(phone repair) aina zote, mafunzo yangu yakuwa yanaegemea zaida kwenye katika matatizo ya hardware.
Nitatoa ufafanuzi wa matatizo mbali mbali katika simu na kuyatolea maelekezo ya amna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.