Waungwana nimeruhusiwa na HR wa IRC ku share Positions hizi kwa wale wanataka kufanya nao kazi DR Congo kwenye Emergency ya Ebola.
Angalizo: Hakuna Malipo na wala usini PM apply online , pia French is a MUST
asante
IRC DRC is prepositioning itself in response to several Ebola outbreaks...
Congo wajivunia sana Kiswahili , Kinshasa ukiwa mswahili wathaminiwa hasa, na utapata marafiki wengi tu. Uganda wakitamani lakini kinawagonga kweli weli na ukikiongea hukosi mwali.
Wenzetu wakenya wanalijua hili na ukikutana na Mkenya Nje ya East Africa hata ona haya kuongea nawe kiswahili...
Tembea uone. By the way naheshimu sana mila za watu nawezka hili wazi kabisa. Ila kuna mengine da!! wenyeji wangu hapa nilipo ukialikwa kwenye msiba jiaandaee. Mwili unatolewa Mochwali na kupelekwa nyumbani kuangwa , huko sasa hotuba zinaanza kila mwanafamilia lazima aseme neno, majirani nao...
This morning was listening to a Radio here and presenters humorously suggested that our prominent musician should undergo vasectomy.
By the way Doctors is the Vasectomy safe? this is the point to discuss and not the heading
Hebu tukutane hapa tunaosoma hizi kozi au tuliomaliza hivi karibuni tupeane msaada jinsi mnavyoweza/mliweza kupata data hasa kwenye mitandao hasa ya serekari kama TFDA, MOH, MOF , au WHO, na World bank. kwa maana kuna baadhi ya maswali unabidi uende kwenye vitengo husika ( online ) ili uweze...
Taifa teule la Israel limebadilisha mpango wake wa awali wa kuwarasimisha wahamiaji 16000 wa kiafrica!! sasa wakimbizi hawa watatakiwa kuondoka kwenda nchi zingine , imedhaniwa kuwa ni Uganda au Rwanda au zote kwa pamoja!!
Habari hii kwa mujibu wa vyombo mbali mbali ikiwemo BBC
asanteni kwa...
Mimi ni mpezi wa kipindi cha discovery channel , kuna kipindi wanaonesha wanasayansi wakimtafuta kiumbe mfano wa Sokwe anaeitwa Big foot ( unyayo mkubwa) huyu mnyama wanasema anapatikana huko America ... lakini hawajawahi kumkamata japo natives na wakulima kadhaa wamesema wamepata kumuona...
Baada imekua miaka mingi toka baba aende mbele ya haki, mama aliumia sana na kujiapiza kuwa hatakua na mume wa kudumu , ataolewa kwa miaka 10 tu na kupata mume mwingine ( baba). Utaratibu huu wa kumpata baba mpya uliafikiwa na wananzengo wote pamoja na watalaka wa mama ambao wamekua sehemu ya...
Bandeko , wale tulioishi DR Congo tukutane hapa , pia eleza maeneo uliyofika/ishi. nitaaza mimi, Nimeishi Goma, nikafika Beni, Butembo, Mbuyimayi, Uvira, Kirumba, Kayina, Rubero Bukavu na Kinsasha ( KIN) pale Gombe. Maisha ya DR Congo yana tamu na chungu, ila ila kiukweli Congo kuzuri sana...
Waugwana tupumzishane kidogo na mambo ya politik
Nina jamaa yangu tunafanya kazi nae hapa, anataka kwenda Tanzania, ( kwetu) na kutembelea Zanzibar na Dar, Kwa Zanzibar nina mtu tayari wa kumpokea na kumtembeza, naomba wale wa Dar hasa wenye vikampuni vichanga wanaweza kuwasiliana na mimi ...
Tunafahamiana , tumezoeana na ikitokea akakosekana mtu humu kwa muda mrefu tunaulizana huyu miss chagga mbona hapatikani JF? au waungwana Miss Bantu au MziziMkavu siku hizi hatumuoni humu kulikoni? na kiukweli kabisa tunafahamiana kama ma ghost maana kila mtu ana taswira yake ndio maana...
Wakuu msiniulize takwimu, ila ki ukweli na wengi wenu mliojaaliwa kusafiri safiri kama mimi mtakubaliana na mimi kwamba, Wakenya wanajivunia sana Kiswahili sana kuliko sisi waTZ tena hawaoni soni kukizungumza hasa ughaibuni. Na hii haijalishi kama mtu ni msomi au la! tofauti na hapa kwentu ...
Nadhani nina tatizo la kuzielewa siasa za nchi yangu pendwa, lakini kiukweli kwa upepo huu unaovuma sidhani kama kuna mtu awaye yeyote yule anaejua nini kitatokea mwaka huo nilioutaja hapo juu.
Nani atakua mgombea kwa tiketi ya chama gani. Ukiachana na CCM sidhani kama vyama vilivyobakia wana...
Humanitarian aid workers tukutane hapa , ili ku-share experiences ya chungu na tamu tulizokutanan nazo fields. iwe ndani au nje ya nchi..... fields kama South Sudan, Iraq, Yemen, Bangladesh, Burundi, Uganda, Tanzania, na Nigeria n.k. najua mko humu.
lakini mwisho kabisa tusiache kutupia hapa...
A nine year old boy from Mtondia, Kilifi County will not celebrate his tenth birthday after he committed suicide because he lost in a gamble with his friends.
Kilifi police boss Alexander Makau said the boy hanged himself after he failed to contain his anger after he lost his cashew nuts. ...
Waungwana huu ugonjwa sio mchezo kwa watu wazima, tuende kupima na wala msiogope kupima ni damu tu inachukuliwa na sio yale mambo ya vidole.... ukiwahi matibabu ni bira zaidi
Nyuzi kama hizi wachangiaji huwa wakutafuta kwa tochi, lakini nimewakilisha. Kesho Insha Aallah nakwenda pima liwalo na...
Waungwana, nimepata soko la ''organic honey'' inayopatikana hasa Tanzania natafuta mtu wa ku-partner awe na kampuni yenye business profile na certified ya TFDA
Please inbox
Waungwana japo tunasimazi lakini lazima maisha yaendelee, nataka kusajiri kampuni hii ni pampja na Kutayarisha company profile, MoU na megine yanayohusiana na haya, mwenye utaalam huu tafadhari sana tuwasiliane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.