Hawa wengi uliowataja wamerudi bongo, mfano Kakapoa, Opra, Adnaboy. Baadhi ya wengine uliowataja wako kwenye social networks. Wengine ata sijui wameishia wapi. Mkizungumzia totoz mnanikumbusha watoto wa Milton Keynes na Reading hahaha!!! ukiingia usiku mnene BST basi unawakuta online wanasogeza...
Aliyekamatwa Tanzania ni Nurdin Akasha ambaye ni mtoto wa Ibrahim Akasha kutoka kwa mke wake wa kwanza anayeitwa Karama. Kwa kweli sijui kama kuna Akasha yoyote anayeishi Tanzania, labda wawe wanakuja kufuatilia biashara zao maana madawa yao mengi wanayasafirisha kwa magari kwenda kusini mwa...
Nurdin Akasha ni mtoto wa Ibrahim Akasha kutoka kwa mke wake wa kwanza aliyekuwa anaitwa Karama (alifariki 2007), Kulikuwa na Kamaldin huyu alipigwa risasi mwaka 2002, Baktash (mtoto wa mke wa pili anayeitwa Fatma), Tinta (mama yake ndio alikuwa na Ibrahim wakati anapigwa risasi) kuna mwingine...
Mkuu story yako umeitia chumvi kidogo.
Ibrahim Akasha alikuwa ni supplier wa madawa kwa ndugu wawili waliokuwa wanaishi Netherlands Magdi Barsoum na Mounir Barsoum, hawa ndugu wawili wakawa wanauza madawa kwa jamaa anaitwa Sam Klepper. Ibrahim Akasha alienda Amsterdam kufuatilia malipo yake...
Seems like vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania vina-operate kama bado viko kwenye zama za Cold War, havijabadilika kwendana na threats/mahitaji ya karne ya 21.
Ningependa kujua wametumia usafiri gani kwenda/kuzunguka sayari ya Mars, maana mara ya mwisho chombo kilichoenda na kutua Mars ni Curiosity (Mars Rover) na ilikichukua icho chombo miezi tisa na kusafiri umbali wa 563,000,000 km. Vyombo vingine vinavyozunguka sayari ya Mars ni Mars Odyssey, Mars...
Hii kesi kiboko, kumbe huyo anonymous FBI agent ambaye alianzisha uchunguzi dhidi ya email za Broadwell alishawahi kumtumia Jill Kelley picha akiwa hajavaa shati
Cue the 'All In' jokes, Gen. Petraeus naona aliamua kujiuzulu mapema kabla FBI hawajamwaga mchele maana wao walikuwa wanachunguza kesi nyingine ndio wakagundua hiyo issue ya extra marital affair.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.