KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Mkuu MM JK hawezi kufanya hivyo kwani kuna watu wengi wako kwenye waiting list ya kung'olewa meno na kucha na si ajabu na wewe umo.
mkuu umeniwahi inshort next move ni kuthreat jf kwa kuwatenda wamiliki na wake wanaoneka vinara wa kuipinga serikali.let cross our finger that not to happen.coz itakuwa disaster.guys we are not safe anymore