CHADEMA yamuonya Ngawaiya asikurupuke
na Grace Masha, Moshi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemtaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro, Thomas Ngawaiya, kuacha kukurupuka kwa kuzungumza mambo ya uongo ili kujitafutia umaarufu...
amejifungua akamtupa kwenye choo cha hotel morogoro
Kweli sisi Wanawake sometimes ni wanyama
Huyu binti apewe athabu kali pamoja na aliyempa mimba hiyo
Source itv
Mbunge wa Rombo kaamua kuweka hadharani chanzo mlipuko G'Mboto; anadai yalikuwa yame-expire...
Ameongea kwa kofia mbili: 1 kama mkazi wa Gongo la Mboto na 2 kama Waziri kivuli wa ulinzi.
Amesema kuna taarifa makombora yalikuwa yame-expire na jeshi lilishaomba fedha serikalini kwa ajili ya...
Msando amburuza kortini Mwanasheria Mkuu wa serikali
na Grace Macha, Moshi
DIWANI wa kata ya Mabogini, Albert Msando (CHADEMA), amemfikisha mahakamani Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Moshi akipinga taratibu zilizotumika kumchagua mwenyekiti wa halmashauri...
cdm imempeleka mbunge wa viti maalum anna maulida komu kwenye halmashauri ya jiji la arusha
Mama huyo mkongwe na mkomavu kisiasa aliripoti ijumaa kwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo.
Soc. tanzania daima
My take sasa cdm wanakuwa na uhakika wa ushindi endapo uchaguzi wa meya utarudiwa
jamani kama kuna siku nimeudhika ni leo , mtandao wa voda unakera sana tokea saa tatu asubuhi napiga simu haziendi inabidi nitumie mtandao mwingine kuwasiliana na watu wa voda hivyo unanizidishia makali ya maisha kwani inaongeza bajeti ya voucher .
kama kuna watu wa voda humu rekebisheni si...
mbunge wa vunjo agustino lyatonga mrema ametoa nyumba yk huko kiraracha itumike kuhifadhi watuhumiwa wa uhalifu waliokamatwa kijijini hapo na sungussungu Jambo lililosababisha kuchomwa kwa nyumba ya mwenyekiti wa kijiji hicho na kusababisha vifo vya watu wawili .
Hivi ubunge hauna mipaka
nani...
Naomba mnisaidie nina ndg yangu amepimwa last wk kaambiwa anatatizo la sukari ilikuwa 7 jana kaenda kupima kaambiwa 18 ninaomba mnisaidie atumie vyakula vya aina gani isiendelee kupanda ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.