superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
nina wasiwasi wanaovunja viti uwanja mpya wa taifa si watanzania
ATAKUA ANATANIA MKUU... we account for over 90% ya attendance there:redfaces:Ni watanzania ,ujinga ndio unawasambua.Kama sio watanzania sasa inamaana uwanja mzima unakuwa umejaa wageni? kama kuna mtanzania anaona mtu anavunja kiti kwanini wasimpeleke kwenye vyombo husika?
uzuri wa hii sredi yako ni fupi na haichokeshi kusoma. ubaya wake ni kwamba haina mantiki wala ushahidi. weka ushahidi kabla hatujakuvua uanachama wa greti thinka.nina wasiwasi wanaovunja viti uwanja mpya wa taifa si watanzania
thanks mkuuuzuri wa hii sredi yako ni fupi na haichokeshi kusoma. ubaya wake ni kwamba haina mantiki wala ushahidi. weka ushahidi kabla hatujakuvua uanachama wa greti thinka.
kwanza labda nikuulize wewe ni mtanzania?, maana hizi tabia ulizoandika kwenye hii post ndio tabia za watanzania hasaaaa! sasa sjui kwanini unawanyang'anya watanzania tabia zao. nazani ulitakiwa kutuambia watanzania tujirekebishe na sio kuzichakachua tabia zetu.someni kabla ya kuanza kushambulia ndiyo maana nimetanguliza neno 'wasiwasi ' kwa sababu kwa mtanzania kufanya vitendo kama hivyo atakuwa punguani ni sawa na mtu kuharibu mali yake aliyoitafuta kwa muda mrefu kwani ni ukweli usiopingika kuwa uwanja ule ni mali ya watz wote sasa wao kuharibu mali zao ni kukosa mzalendo makusudi au bahati mbaya?
hehehe punguza hasira greti thinka, hasira zinaweza kupelekea ugonjwa wa dayabetic. acha nikubaliane na wewe basi ili tusuluhishe,mi Mtanganyika labda ndiyo maana nawaona nyie mko tofauti
mkuu, nimekusoma sana na nikarudia na nikauona huo "wasiwasi" WAKO... na dnio maana kwenye post yangu namba tatu nikaendeleza wasiwasi wako kwa kutoa rai kwamba tulinde vilivyo vyetusomeni kabla ya kuanza kushambulia ndiyo maana nimetanguliza neno 'wasiwasi ' kwa sababu kwa mtanzania kufanya vitendo kama hivyo atakuwa punguani ni sawa na mtu kuharibu mali yake aliyoitafuta kwa muda mrefu kwani ni ukweli usiopingika kuwa uwanja ule ni mali ya watz wote sasa wao kuharibu mali zao ni kukosa mzalendo makusudi au bahati mbaya?
Wakati akiwa amesimama juu ya kiti jirani yake anakosekana hata wa kumwambia siyo mambo hayo shuka mpk kinang'oka?Mambo ya kuingia uwanjani bule hayo. Waliovunja inawezekana hata TV hawaangalii, Mitandao kama hii ndio hawajui kama ipo, Labda kesho watachungulia vichwa vya habari vya magazeti, Ila ni vile vya mbele, habari za michezo hawazioni. Wanasubilia tena next time itokee bure wakavuje tena, maana hawajui utaratibu.
Kuna wale waliolipia mechi za mwanzoni uwanja ulivyofunguliwa rasmi,wao walipanga foleni kabisa chooni wanakojoa kwenye ma-sink ya kuoshea mikono.Mambo ya kuingia uwanjani bule hayo.
Nakasirika si unajua kodi nalipa halafu wengine wanacheza na fedha zetu , mambo kama haya ndiyo huwa fursa mafisadi kubuni mbinu za kutuibia sasa hv itatangazwa tenda ya waangalizi wa samani uwanjani wakati wa mechi ikiendelea msigune sasa mnategemea uharibifu uendelee mpk lini?hehehe punguza hasira greti thinka, hasira zinaweza kupelekea ugonjwa wa dayabetic. acha nikubaliane na wewe basi ili tusuluhishe,
nadhani itakuwa wa ivori kosti ndio wanaovunja viti vya uwanja mpya, wabongo hawawezi kabisa kufanya hivi bana.