nimekaa leo nmemkumbka baba wa taifa hili enzi hizo lilikuwa kimbilio la mataifa mbalimbali na lilikuwa taifa la kupigiwa mfano África, sasa limekuwa shamba la bibi kila mtu anafanya anachokiweza ili atajilike madawa ya kulevya sasa la kulevya ruksa,ujangili ruksa,maofisini ufisadi ruksa. Amani...
Mi nashangaa sana hii kweli imeoza sana watu wengne wakitajwa wanakamatwa kwenda kutoa maelezo polisi,lakin watoto wengi wa vigogo na vigogo wametajwa humu waziwazi hawajaitwa polisi hata kwa mahojiano
Mwambien mwenyekiti wenu aunde tume tujue ukweli kwa nn hamjamshinikiza kuunda tume unafiki utaua hadi watoto wako badae wewe sasa hv burudika tu kuandka huo upuzi wako lakini watoto ndo watakuja kupata shida
Nmeangalia kipindi kipya cha UZALENDO ITV kwa kweli sijakielewa badala ya kuuliza maswali kwa kubalance anauliza kwa kukishambulia chama kimoja nawashauri viongozi wa CHADEMA wasikate tamaa watamaa kwa watangazaji kama huyu wa kipindi kalipwa shilling ngapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.