Kilicho wagusa zaiidi ni kuhimiza amani,upendo........haya maneno mawili yanatosha tusichukue mengi,kwa akili yako umeona chadema wanaendana na uliyoandika,unamatatizo mkuu.
Wamekosa kazi ya kufanya hao.
Yawezekana chadema bado hawajauwa mtu kyela watu wakajionea jinsi chadema kinavyotekeleza mauaji kwa watu.
Mkuu kwani kwako "kazi" ni nini? Naomba ufafanuzi.
Yawezekana chadema bado hawajauwa mtu kyela watu wakajionea jinsi chadema kinavyotekeleza mauaji kwa watu.
Wamekosa kazi ya kufanya hao.
Kama vile ufisadi, ung'oaji watu kucha na meno bila ganzi, kufanya campaign misikitini na makanisani, safari zisizo na tija wala mashiko kwa taifa, kukopa kopa ovyo na hela hazijulikani zilipoenda hizo si ndio shughuli zenye manufaa comrade?
Ngoja wikiend niende kyela ntakitafta hicho kibao wadau wote hapa jamvini mtakipata jaman, magamba huku kyela yapo i.c.u na waziri wao wa reli na bandari huku akituacha tulio mchagua tunangamia kwa kipindupindu
kipindupindu ni matokeo ya uchafu! una maanisha nyie usafi hadi aje mbunge? sorry for disturbance
Wamekosa kazi ya kufanya hao.
kipindupindu ni matokeo ya uchafu! una maanisha nyie usafi hadi aje mbunge? sorry for disturbance
Yawezekana chadema bado hawajauwa mtu kyela watu wakajionea jinsi chadema kinavyotekeleza mauaji kwa watu.
Mbona rahisi sana kazi niile shughuli ya kung'oa kucha,macho,kupiga mabomu na kujeruhi muda wowote upendao.Mkuu kwani kwako "kazi" ni nini? Naomba ufafanuzi.