Mbowe ueleze umma ukweli, ni nani kafanya mauaji arusha?

sasa jamani,Mbowe angekuwa na ushahidi huo si angeshau submit kwenye vyombo vya dola?huyu mheshimiwa anatuhadaa,anachezea akili za watanzania
Hicho chombo cha Dola ndo kilicho husika halafu unasema angekuwa amekwisha peleka huo ushahidi hicho ni kitu kinachowezekana kweli?
 
chezea mbowe wewe. maskini inaelekea wanachadema wengi hawamjui mbowe ni nani. pole yenu!
 
WanaJF!

Ni dhahiri kuwa bado ndani ya mioyo yetu tuna majonzi ya kupotelewa na ndugu na jamaa zetu kwenye tukio la kinyama lililo husisha mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha siku ya June 15, 2013.

Tukio hili lililo gusa hisia za watu wengi ukizingatia na namna ambavyo watu walifariki na kuumia vibaya. Binafsi nilisisimuka kwa woga baada ya kupokea taarifa ya tukio.

Lakini baada tu ya tukio kutokea, ghafla Mbowe akaonekana kwenye vyombo vya habari na kutoa 'tamko' kuhusiana na wahusika wa tukio hilo la mlipuko.

Jambo ambalo ni la ajabu na kushangaza ni kitendo cha Mbowe kutuhumu serikali kuwa imehusika, kwani katika hali ya kawaida, matukio ya mlipuko uwa yana pangwa kimkakati na kitaalamu, na ili matukio hayo yaweze kugundulika ni nani kahusika katika kuratibu, inahitaji upepelezi wa kina.

Sasa kitendo cha bwana Mbowe kukurupuka kutoa 'tamko' kwenye vyombo vya habari kuhusu muhusika wa tukio la mlipuko, hii imepelekea wachambuzi wa mambo ya ugaidi kupata shaka na bwana Mbowe hasa katika ujuaji wake wa muhusika wa tukio hilo.

Lakini jambo lililotia shaka zaidi na kupelekea kuibua hisia kuwa wenda Mbowe anajua kila kitu kuhusu mlipuko huo, ni baada ya bwana Mbowe kukubali kushiriki kwenye dhifa ya serikali iliyo andaliwa na Ikulu kwa fedha za hazina (fedha ya walipa kodi).

View attachment 101603

Kukubali kwa bwana Mbowe kushiriki kwenye dhifa hiyo, kumeleta maswali kama vile;

i)Kwanini Mbowe akubali kula na kunywa na watu waliotaka kumuua?

ii)Kwanini Mbowe awasifie watu waliotaka kumuua akiwa Ikulu tena kwa kumpongeza na JK?

iii)Kwanini Mbowe hakuwa na aibu na woga katika kukubali mualiko wa watu ambao wamefanya mauaji ya kinyama?

iv)Mbowe ameguswa na watu waliopoteza maisha pale Arusha kutokana na mlipuko wa bomu?

v)Kwanini Mbowe 'anywe' na 'ale' meza moja na watu wanao muwinda na kutaka kumuua kama anavyo eleza mwenyewe mara kwa mara?

Kwa maswali ya aina hiyo na mengine mengi yenye maudhui ya kutilia shaka mahusiano ya Mbowe na viongozi wa serikali, hii inapelelea kuamini kwamba Mbowe amedanganya umma kwa kusema serikali imehusika na mlipuko wa bomu Arusha, hii ni kwa sababu nyuma ya pazia Mbowe na viongozi wa serikali wana mahusiano mazuri sana.

Kwa muktadha huo; Mbowe anapaswa kuueleza umma kwa mara nyingine kama alivyo fanya hapo awali, ni nani muhusika wa bomu Arusha? kwa kuwa yeye ndiye alikuwa kihere here katika kutoa tamko la muhusika wa bomu, basi yeye kwa namna yoyote atakuwa anajua ni nani muhusika.
uma unajua ni nani aliyemuua Mwangosi
 
Jamaa akiwa jukwaani anajitetea utadhani wa maana kweli kumbe muuajitu mbowe na lema si watu.

Mauaji na utesaji wenye utata vimezidi mkuu.Kwa nini serikali ya CCM haitaki kuunda tume ya kimahakama? Kuna nini inakiogopa? Kama ni CHADEMA si tume hiyo itasema........?
 
Yeye anafanya uharifu kwa mawazo kuwa ataipangia serikali ifanyeje kazi hatuwezi kuendesha nchi kihuni vile acha mawazo yako ya migombani mkuu watu wafe halafu mharifu atoe masharti kwa gvt ya wapi hiyo.

mawazo ya mgombani anayo waziri mkuu wako na polisisi emu! mhalifu nani kati ya alielipua bomu na mwenye ushahidi? kenge wewe:A S-fire1:
ulivopimbi unadai huezi kuendesha nchi kihuni, utamwendesha nani ngedere ww usieijua sheria ya uundwaji wa tume huru ya uchunguzi? mwalifu ni polisisiem iweje apewe ushahidi, unaona jinsi gani ulivo kangaroo
 
Hammy D tunakujua wewe mpanga mikakati ya Kigadi unajifanya kuweweseka hapa !Subiri kiama chenu kinakuja
 
WanaJF!

Ni dhahiri kuwa bado ndani ya mioyo yetu tuna majonzi ya kupotelewa na ndugu na jamaa zetu kwenye tukio la kinyama lililo husisha mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha siku ya June 15, 2013.

Tukio hili lililo gusa hisia za watu wengi ukizingatia na namna ambavyo watu walifariki na kuumia vibaya. Binafsi nilisisimuka kwa woga baada ya kupokea taarifa ya tukio.

Lakini baada tu ya tukio kutokea, ghafla Mbowe akaonekana kwenye vyombo vya habari na kutoa 'tamko' kuhusiana na wahusika wa tukio hilo la mlipuko.

Jambo ambalo ni la ajabu na kushangaza ni kitendo cha Mbowe kutuhumu serikali kuwa imehusika, kwani katika hali ya kawaida, matukio ya mlipuko uwa yana pangwa kimkakati na kitaalamu, na ili matukio hayo yaweze kugundulika ni nani kahusika katika kuratibu, inahitaji upepelezi wa kina.

Sasa kitendo cha bwana Mbowe kukurupuka kutoa 'tamko' kwenye vyombo vya habari kuhusu muhusika wa tukio la mlipuko, hii imepelekea wachambuzi wa mambo ya ugaidi kupata shaka na bwana Mbowe hasa katika ujuaji wake wa muhusika wa tukio hilo.

Lakini jambo lililotia shaka zaidi na kupelekea kuibua hisia kuwa wenda Mbowe anajua kila kitu kuhusu mlipuko huo, ni baada ya bwana Mbowe kukubali kushiriki kwenye dhifa ya serikali iliyo andaliwa na Ikulu kwa fedha za hazina (fedha ya walipa kodi).

View attachment 101603

Kukubali kwa bwana Mbowe kushiriki kwenye dhifa hiyo, kumeleta maswali kama vile;

i)Kwanini Mbowe akubali kula na kunywa na watu waliotaka kumuua?

ii)Kwanini Mbowe awasifie watu waliotaka kumuua akiwa Ikulu tena kwa kumpongeza na JK?

iii)Kwanini Mbowe hakuwa na aibu na woga katika kukubali mualiko wa watu ambao wamefanya mauaji ya kinyama?

iv)Mbowe ameguswa na watu waliopoteza maisha pale Arusha kutokana na mlipuko wa bomu?

v)Kwanini Mbowe 'anywe' na 'ale' meza moja na watu wanao muwinda na kutaka kumuua kama anavyo eleza mwenyewe mara kwa mara?

Kwa maswali ya aina hiyo na mengine mengi yenye maudhui ya kutilia shaka mahusiano ya Mbowe na viongozi wa serikali, hii inapelelea kuamini kwamba Mbowe amedanganya umma kwa kusema serikali imehusika na mlipuko wa bomu Arusha, hii ni kwa sababu nyuma ya pazia Mbowe na viongozi wa serikali wana mahusiano mazuri sana.

Kwa muktadha huo; Mbowe anapaswa kuueleza umma kwa mara nyingine kama alivyo fanya hapo awali, ni nani muhusika wa bomu Arusha? kwa kuwa yeye ndiye alikuwa kihere here katika kutoa tamko la muhusika wa bomu, basi yeye kwa namna yoyote atakuwa anajua ni nani muhusika.

HUWA UNA RECYCLE THREAD ZAKO KILA MARA... Vipi lukuvi, Nape na hata waziri mkuu walitoa kauli zenye kuashiria kuwa wanajua nani aliyehusika hawa mbona hujawaongelea kwenye thread zako.. Huwa husomeki yaani katika thread 100 tisini lazima ziwe ni za kinafiki tuu... na lazima zitakuwa za kuchumia tumbooo
 
kama mbowe aamini serikali na polisi atume hata hiyo mikanda bbc na cnn au hata aljazeera kuna maswali mengi kuhusu uhusiano wa mbowe na serikali ambayo hayana majibu
 
WanaJF!

Ni dhahiri kuwa bado ndani ya mioyo yetu tuna majonzi ya kupotelewa na ndugu na jamaa zetu kwenye tukio la kinyama lililo husisha mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha siku ya June 15, 2013.

Tukio hili lililo gusa hisia za watu wengi ukizingatia na namna ambavyo watu walifariki na kuumia vibaya. Binafsi nilisisimuka kwa woga baada ya kupokea taarifa ya tukio.

Lakini baada tu ya tukio kutokea, ghafla Mbowe akaonekana kwenye vyombo vya habari na kutoa 'tamko' kuhusiana na wahusika wa tukio hilo la mlipuko.

Jambo ambalo ni la ajabu na kushangaza ni kitendo cha Mbowe kutuhumu serikali kuwa imehusika, kwani katika hali ya kawaida, matukio ya mlipuko uwa yana pangwa kimkakati na kitaalamu, na ili matukio hayo yaweze kugundulika ni nani kahusika katika kuratibu, inahitaji upepelezi wa kina.

Sasa kitendo cha bwana Mbowe kukurupuka kutoa 'tamko' kwenye vyombo vya habari kuhusu muhusika wa tukio la mlipuko, hii imepelekea wachambuzi wa mambo ya ugaidi kupata shaka na bwana Mbowe hasa katika ujuaji wake wa muhusika wa tukio hilo.

Lakini jambo lililotia shaka zaidi na kupelekea kuibua hisia kuwa wenda Mbowe anajua kila kitu kuhusu mlipuko huo, ni baada ya bwana Mbowe kukubali kushiriki kwenye dhifa ya serikali iliyo andaliwa na Ikulu kwa fedha za hazina (fedha ya walipa kodi).

View attachment 101603

Kukubali kwa bwana Mbowe kushiriki kwenye dhifa hiyo, kumeleta maswali kama vile;

i)Kwanini Mbowe akubali kula na kunywa na watu waliotaka kumuua?

ii)Kwanini Mbowe awasifie watu waliotaka kumuua akiwa Ikulu tena kwa kumpongeza na JK?

iii)Kwanini Mbowe hakuwa na aibu na woga katika kukubali mualiko wa watu ambao wamefanya mauaji ya kinyama?

iv)Mbowe ameguswa na watu waliopoteza maisha pale Arusha kutokana na mlipuko wa bomu?

v)Kwanini Mbowe 'anywe' na 'ale' meza moja na watu wanao muwinda na kutaka kumuua kama anavyo eleza mwenyewe mara kwa mara?

Kwa maswali ya aina hiyo na mengine mengi yenye maudhui ya kutilia shaka mahusiano ya Mbowe na viongozi wa serikali, hii inapelelea kuamini kwamba Mbowe amedanganya umma kwa kusema serikali imehusika na mlipuko wa bomu Arusha, hii ni kwa sababu nyuma ya pazia Mbowe na viongozi wa serikali wana mahusiano mazuri sana.

Kwa muktadha huo; Mbowe anapaswa kuueleza umma kwa mara nyingine kama alivyo fanya hapo awali, ni nani muhusika wa bomu Arusha? kwa kuwa yeye ndiye alikuwa kihere here katika kutoa tamko la muhusika wa bomu, basi yeye kwa namna yoyote atakuwa anajua ni nani muhusika.



Ni upuuzi na ujinga mtu kujifanya zumbukuku,na kwa mtu mzima kumwambia mwenzie mambo ya kitoto

Bomu mumelinunua wenyewe mkaja nalo mkawapa watu wenu wakawaue watanzania wenzao kwa uchu wa madaraka kwamba kwa kufanya hivyo wataogopa kwenda kwenye mikutano ya Chadema,wakati mshatimiza azma yenu ya kuua raia wasio na hatia

Kwa upumbavu wako unataka utajiwe na nani wakati mliandaa ccm mkatekeleza na mkatimiza,aliyekuwa nanyi kwenye huo mpango wenu wa kishetani ni naniambaye unataka amtaje?

Mnao Policcm ambao wanafanya kazi ya kuzuia maandamano ya Chadema tu ilihali maovu yanazidi,kama wameshindwa kumpata kuna haja gani ya kuendelea kuwa nao,kama wao wanajua na intelijensia yao ni kwa Chadema tu na kufanya kazi za kunyanyasa watanzania huku viongozi wa ccm wakifanya biashara ya unga

Msitake kuigiza aliyelipua bomu mnamjua na mlimtuma nyie wauza unga
 
Ni kweli alikuwa kiherehere na media zote zilimhoji akasema yupo tayari sasa anangoja nini kutoa huo ushaidi?
 
Maccm yameahikwa pabaya, kuhusu swala la mabomu in general. .hakuna ubishi wala propaganda policcm na ccm ndio mnahusulika.hamy d utaandika chochote upendacho au utakachotumwa na magamba lakini kuhusu mauwaji ya raia mnayotafanya no way imekula kwenu ccm. Unadhani hata ukijaribu kunusuru magamba na policcm hautasaidia.mkamuua mwangosi bila huruma kilichookoa chadema ni ushahidi uliobesha wazi n amna policcm walivyompiga hataye kumchataza na bomu na kufa hapo hapo.sasa ile laana ya kumuuwa kwa bomi mwangosi ni muendelezo huo huo wakupiga watu mabomu kwenye mikutano ya chadema.kwa hili ccm litawagharimu automatically.
 
Mwambien mwenyekiti wenu aunde tume tujue ukweli kwa nn hamjamshinikiza kuunda tume unafiki utaua hadi watoto wako badae wewe sasa hv burudika tu kuandka huo upuzi wako lakini watoto ndo watakuja kupata shida
 
Ni kweli alikuwa kiherehere na media zote zilimhoji akasema yupo tayari sasa anangoja nini kutoa huo ushaidi?

Nadhani mnajifanya hamuelewi kiswahili.mh.mbowe alichosema.chadema hakiwezi kupeleka ushahidi kwappoliccm, kwani ndio wauwaji...ajaomba iundwe tume huru ya kimahakama then wataukabidhi ushahidi wao.sasa kwa vile ccm na policcm wanajua deal nzima na ukweli wanaogopa kama ikiundwa tume huru ya kimahakama ushahidi upelekwe huko ukweli ukijulikana litakuwa ni pigo kubwa kwa ccm. Sasa basi nyue enseleeni na propaganda lakini kwa hili magamba hayaba ujanja
 
WanaJF!

Ni dhahiri kuwa bado ndani ya mioyo yetu tuna majonzi ya kupotelewa na ndugu na jamaa zetu kwenye tukio la kinyama lililo husisha mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha siku ya June 15, 2013.

Tukio hili lililo gusa hisia za watu wengi ukizingatia na namna ambavyo watu walifariki na kuumia vibaya. Binafsi nilisisimuka kwa woga baada ya kupokea taarifa ya tukio.

Lakini baada tu ya tukio kutokea, ghafla Mbowe akaonekana kwenye vyombo vya habari na kutoa 'tamko' kuhusiana na wahusika wa tukio hilo la mlipuko.

Jambo ambalo ni la ajabu na kushangaza ni kitendo cha Mbowe kutuhumu serikali kuwa imehusika, kwani katika hali ya kawaida, matukio ya mlipuko uwa yana pangwa kimkakati na kitaalamu, na ili matukio hayo yaweze kugundulika ni nani kahusika katika kuratibu, inahitaji upepelezi wa kina.

Sasa kitendo cha bwana Mbowe kukurupuka kutoa 'tamko' kwenye vyombo vya habari kuhusu muhusika wa tukio la mlipuko, hii imepelekea wachambuzi wa mambo ya ugaidi kupata shaka na bwana Mbowe hasa katika ujuaji wake wa muhusika wa tukio hilo.

Lakini jambo lililotia shaka zaidi na kupelekea kuibua hisia kuwa wenda Mbowe anajua kila kitu kuhusu mlipuko huo, ni baada ya bwana Mbowe kukubali kushiriki kwenye dhifa ya serikali iliyo andaliwa na Ikulu kwa fedha za hazina (fedha ya walipa kodi).

View attachment 101603

Kukubali kwa bwana Mbowe kushiriki kwenye dhifa hiyo, kumeleta maswali kama vile;

i)Kwanini Mbowe akubali kula na kunywa na watu waliotaka kumuua?

ii)Kwanini Mbowe awasifie watu waliotaka kumuua akiwa Ikulu tena kwa kumpongeza na JK?

iii)Kwanini Mbowe hakuwa na aibu na woga katika kukubali mualiko wa watu ambao wamefanya mauaji ya kinyama?

iv)Mbowe ameguswa na watu waliopoteza maisha pale Arusha kutokana na mlipuko wa bomu?

v)Kwanini Mbowe 'anywe' na 'ale' meza moja na watu wanao muwinda na kutaka kumuua kama anavyo eleza mwenyewe mara kwa mara?

Kwa maswali ya aina hiyo na mengine mengi yenye maudhui ya kutilia shaka mahusiano ya Mbowe na viongozi wa serikali, hii inapelelea kuamini kwamba Mbowe amedanganya umma kwa kusema serikali imehusika na mlipuko wa bomu Arusha, hii ni kwa sababu nyuma ya pazia Mbowe na viongozi wa serikali wana mahusiano mazuri sana.

Kwa muktadha huo; Mbowe anapaswa kuueleza umma kwa mara nyingine kama alivyo fanya hapo awali, ni nani muhusika wa bomu Arusha? kwa kuwa yeye ndiye alikuwa kihere here katika kutoa tamko la muhusika wa bomu, basi yeye kwa namna yoyote atakuwa anajua ni nani muhusika.

Wewe ndo hamnazo kabisa kwani vyombo vya habari walipotoa picha ya mtu aliyemlipua Ndg Mwangosi kule Nyororo Iringa ni hatua gani zilizochukuliwa??? Sasa Mbowe akimtaja muuwaji itakuwa na faida gani, Mbowe ameomba Rais aunde tume huru ya wanasheria na haki za binadamu ili autoe ushahidi wake, hilo limeshindikana, kuwa mkweli bwana!!!
 
Toa ujinga wewe subirini rais wenu wa mabox mtampeleka mtakavyo sio huyu anajua kazi yake na wajibu wake anajua e
Nadhani mnajifanya hamuelewi kiswahili.mh.mbowe alichosema.chadema hakiwezi kupeleka ushahidi kwappoliccm, kwani ndio wauwaji...ajaomba iundwe tume huru ya kimahakama then wataukabidhi ushahidi wao.sasa kwa vile ccm na policcm wanajua deal nzima na ukweli wanaogopa kama ikiundwa tume huru ya kimahakama ushahidi upelekwe huko ukweli ukijulikana litakuwa ni pigo kubwa kwa ccm. Sasa basi nyue enseleeni na propaganda lakini kwa hili magamba hayaba ujanja
 
Muuaji mwangalie usoni utapata majibu yako mapema tu kama ukimwangalia mbowe usoni wakati naongelea swala hili hamna chenga kuwa yeye anahusika.
Mbowe apange kujilipua mwenyewe afe ili iweje??? Pimbi wewe naona umelewe ugali wa mtama kalale, huna lolote!!!
 
Kwa hiyo dhifa ya kitaifa ni ya ccm au ikulu? Je ikulu ni ya ccm? Kweli ccm imeshikwa pabaya! Yaani mtumie polisccm kulipua wana Arusha, halafu mlengwa mumugeuzie kibao, ni Tanzania tu inawezekana kwa usaliti wanaofanya kina mwigulu kwa kuwanufaisha mafisadi kama mzee mamvi na wenzake!!
 
Back
Top Bottom