Kura za CCM ziko huku: Huku ndiko zilikopotelea...

CCM wanazidi kupoteza kura. Kwa bahati mbaya wanazitafuta CDM. Wanatumia polisi wenye bunduki na mabomu, wanapekua kila ofisi ya CDM na kwenye nyumba za viongozi wa CDM wakizitafuta kura zao. Masikini CCM!!! Laiti wangejua kuwa kura zao hazipo CDM...

Zifuatazo ni baadhi ya sehemu ambako kura za CCM zimepotelea, nawashauri waende huko wakazitafute...

1. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea kwa wafugaji wa kimasai na kibarbeig, ambao wamenyang'anywa ardhi yao kule Loliondo akapewa mwarabu, na walipojitahidi kujihifadhi sehemu nyingine kama wakimbizi tunashuhudia wakiondolewa bila huruma kule Korogwe, Ihefu na Rufiji...

2. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea Mtwara, ambapo wakazi wake wanalilia raslimali ya gesi iwafaidishe, lakini wameishia kuvuliwa nguo, kuchapwa viboko na kuuawa...

3. Kura za CCM zimepotea kwa maelfu mikononi mwa wakulima wa korosho, ambao walilaghaiwa kuuza kwa stakabadhi ghalani, wakaishia kuliwa...

4. Maelfu na maelfu ya kuza za CCM yamepotelea mikononi mwa wakulima wa pamba, ambao bei ya zao lao inazidi kuporomoka kutokana na CCM kubinafsisha kiholela na kuua viwanda vya nguo nchini na kisha kushindwa kuwatafutia bei nzuri kwingineko...

5. Makumi na mamia elfu ya kura za CCM yamepotelea mikononi mwa wanafunzi waliomaliza form 4, wazazi wao na jamaa zao ambao pamoja na kupoteza fedha na muda mwingi kugharamia elimu, wameishia kufeli kutokana na mazingira mabaya ya elimu...

6. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea mikononi mwa wamachinga, ambao wanatumia nguvu na uwezo wao kujtafutia rizki, lakini kila siku wananyanyaswa na mgambo...

7. Kura za CCM maelfu zimepotelea mikononi mwa wananchi wa kule Songea, kule Ifakara na kule Ngara ambao walishuhudia maisha ya wenzao yakikatizwa bila hatia na polisi wa CCM...

8. Kura za CCM zimepotelea mikononi mwa walimu ambao ambao wanadhulumiwa jasho lao, na walipojitahidi kuzidai hadharani wakaishia kukatazwa mahakamani na kutishiwa kufukuzwa kazi...

9. Maelfu ya kura CCM yamepotelea mikononi mwa madaktari ambai wanafanya kazi katika mazingira magumu na mishahara duni, na pale walipojaribu kudai, wakashuhudia mwenzao aking'olewa kucha na meno bila ganzi...

10. Kura za CCM zimepotelea mifukoni mwa wakulima, ambao hawana pembejeo, na pale wanapojitahidi na kupata mavuno kidogo mashamba yao hayafikiki kutokana na ubovu na kukosekana kwa barabara...

11. Kura za CCM zinazidi kipotelea mikononi mwa wanaotumia simu za mikononi, ambao pamoja na kulipa ghali kununua na kutumia simu, bado wanakamuliwa sh 12,000 kila mwaka kuchangia ununuzi wa mashangingi ya viongozi wa CCM, kugharamia matumizi kwenye nyumba ndogo zao na kusomesha watoto wao wavivu Ulaya...

Nawashashauri CCM waje huku nilikowatajia wakazitafute kura zao, tena hawana haja ya kuja na polisi wala mabomu. Zipo tu. Wajue kwamba hata wapekue kwa miaka 10, hawataikuta kura yao hata moja kwenye ofisi za CDM wala nyumbani kwa viongozi wao, kwani hazipo kule. Tunazo sisi humu mtaanii....

I hear the voice saying talk to them talk to them, This is the voice people must listen to.
In that thinking it is real nyinyiem don't get onto JF! But if they get onto it hawana king'amuzi.

These are Da Vinci codes.
 
Pumba tupu,CDM hawahongi vitenge,Ma Tshirt ,kuwanunua watu kama mlivyomnunua" Funza "-(small house ya Nchemba na Ntella) kofia wala kuwapikia wali wananchi kwa sababu
1.Sio mafisadi,wanauchungu na fedha za wananchi
2.Tunaamini katika Sera nzuri zenye kutekelezeka na kuleta tumaini la maisha kwa mwananchi!!take it from me _ufanye chakula cha ubongo wako wewe " Unoka"

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Umeona watu wakisema cdm cdm ukaunga tela. Cdm ni mafisadi tayari japo hawajashika hata nchi.
 
Unless otherwise daftari la wapiga kura lifanyiwe maboresho miezi michache kabla ya upigaji kura 2015
Ndio unaweza kuona hiyo effect
 
CCM wanazidi kupoteza kura. Kwa bahati mbaya wanazitafuta CDM. Wanatumia polisi wenye bunduki na mabomu, wanapekua kila ofisi ya CDM na kwenye nyumba za viongozi wa CDM wakizitafuta kura zao. Masikini CCM!!! Laiti wangejua kuwa kura zao hazipo CDM...

Zifuatazo ni baadhi ya sehemu ambako kura za CCM zimepotelea, nawashauri waende huko wakazitafute...

1. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea kwa wafugaji wa kimasai na kibarbeig, ambao wamenyang'anywa ardhi yao kule Loliondo akapewa mwarabu, na walipojitahidi kujihifadhi sehemu nyingine kama wakimbizi tunashuhudia wakiondolewa bila huruma kule Korogwe, Ihefu na Rufiji...

2. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea Mtwara, ambapo wakazi wake wanalilia raslimali ya gesi iwafaidishe, lakini wameishia kuvuliwa nguo, kuchapwa viboko na kuuawa...

3. Kura za CCM zimepotea kwa maelfu mikononi mwa wakulima wa korosho, ambao walilaghaiwa kuuza kwa stakabadhi ghalani, wakaishia kuliwa...

4. Maelfu na maelfu ya kuza za CCM yamepotelea mikononi mwa wakulima wa pamba, ambao bei ya zao lao inazidi kuporomoka kutokana na CCM kubinafsisha kiholela na kuua viwanda vya nguo nchini na kisha kushindwa kuwatafutia bei nzuri kwingineko...

5. Makumi na mamia elfu ya kura za CCM yamepotelea mikononi mwa wanafunzi waliomaliza form 4, wazazi wao na jamaa zao ambao pamoja na kupoteza fedha na muda mwingi kugharamia elimu, wameishia kufeli kutokana na mazingira mabaya ya elimu...

6. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea mikononi mwa wamachinga, ambao wanatumia nguvu na uwezo wao kujtafutia rizki, lakini kila siku wananyanyaswa na mgambo...

7. Kura za CCM maelfu zimepotelea mikononi mwa wananchi wa kule Songea, kule Ifakara na kule Ngara ambao walishuhudia maisha ya wenzao yakikatizwa bila hatia na polisi wa CCM...

8. Kura za CCM zimepotelea mikononi mwa walimu ambao ambao wanadhulumiwa jasho lao, na walipojitahidi kuzidai hadharani wakaishia kukatazwa mahakamani na kutishiwa kufukuzwa kazi...

9. Maelfu ya kura CCM yamepotelea mikononi mwa madaktari ambai wanafanya kazi katika mazingira magumu na mishahara duni, na pale walipojaribu kudai, wakashuhudia mwenzao aking'olewa kucha na meno bila ganzi...

10. Kura za CCM zimepotelea mifukoni mwa wakulima, ambao hawana pembejeo, na pale wanapojitahidi na kupata mavuno kidogo mashamba yao hayafikiki kutokana na ubovu na kukosekana kwa barabara...

11. Kura za CCM zinazidi kipotelea mikononi mwa wanaotumia simu za mikononi, ambao pamoja na kulipa ghali kununua na kutumia simu, bado wanakamuliwa sh 12,000 kila mwaka kuchangia ununuzi wa mashangingi ya viongozi wa CCM, kugharamia matumizi kwenye nyumba ndogo zao na kusomesha watoto wao wavivu Ulaya...

Nawashashauri CCM waje huku nilikowatajia wakazitafute kura zao, tena hawana haja ya kuja na polisi wala mabomu. Zipo tu. Wajue kwamba hata wapekue kwa miaka 10, hawataikuta kura yao hata moja kwenye ofisi za CDM wala nyumbani kwa viongozi wao, kwani hazipo kule. Tunazo sisi humu mtaanii....

Zingine zimepotelea kwetu sisi wana KYELA ambao tumeshuhudia zao letu la KOKOA likishuka bei bila maelezo yoyote.
 
Teh teh teh, eti Mwigullu aliua, fuatilia kauli ya ya kizushi ya MBOWE kuwa wana mkanda wa video ya kuwa ASKARI ndiye aliyeua sasa inamtokea puani kwa vile ni uongo mtupu, na wewe unakuja na saga kuwa ni MWIGULLU? mnachekesha kweli, haya nitaje na mimi kuwa nilihusika.

wewe nani bwana ndani ya nyinyiem mpaka utajwe kama ulihusika kinuka mkojo tu wewe chama kina wenyewe hicho. mtu kawapa ushauri badala ya kushukuru mipovu innawatoka. yani mnakera sana nyie kijano njano.
 
Cdm mtaumwa mfe huku mnaona,riziki ya mtu kuipora hamuwezi na mtaishia kunawa tu,watanzania walishajua kuwa cdm ni chama cha mauaji kwa hiyo wamekistukia.
 
Cdm mtaumwa mfe huku mnaona,riziki ya mtu kuipora hamuwezi na mtaishia kunawa tu,watanzania walishajua kuwa cdm ni chama cha mauaji kwa hiyo wamekistukia.

CDM kimemuua nani? taja hata wawili mi nkutaji kumi waliouawa na vionogzi mafedhuli wa ccm.
 
Cdm mtaumwa mfe huku mnaona,riziki ya mtu kuipora hamuwezi na mtaishia kunawa tu,watanzania walishajua kuwa cdm ni chama cha mauaji kwa hiyo wamekistukia.

wewe naona ndo huwa unaonja madawa ya kulevya hapo lumumba,akil zako ni za kiteja sana.
 
Bila shaka umevaa miwani ya mbao! Pamoja na mambo yote hayo kuwa dhahili bado unasema ni kurubuni? Nimegundua pia hujui unasema nini! Unaposema ''Watanzania watapembua pumba na chuya''Mwandishi wa thread hii ni miongoni mwa Watanzania labda kama kuna Tanzania ingine zaidi ya hii inayo tawaliwa na chama chetu CCM.Wana CCM kama wewe ndiyo mnawafanya viongozi wetu ndani ya chama waone mambo yanakwenda barabara kwa kutosema ukweli mambo yanapokwenda mrama!Sikulaumu sana kwa kuishi kwa mazoea,sifa zilikuwa zamani wakati viongozi wetu walikuwa karibu nasi siyo sasa.Siku hizi ni rahisi kwa muwekezaji kuonana na viongozi wa chama au serikali kuliko wewe unayetetea chama na kufikiri unakienzi chama.Wakati umefika wanachama tubaini mapungufu ya chama chetu CCM na kufikiri jinsi ya kuyatatua kwa vitendo mvuto urejee ndani na nje ya chama.
Ni vyema kutopuzia Jambo lolote la upinzani ya Ukweli yafanyiwe kazi na ya uongo yaachwe huko huko
 
Teh teh teh, eti Mwigullu aliua, fuatilia kauli ya ya kizushi ya MBOWE kuwa wana mkanda wa video ya kuwa ASKARI ndiye aliyeua sasa inamtokea puani kwa vile ni uongo mtupu, na wewe unakuja na saga kuwa ni MWIGULLU? mnachekesha kweli, haya nitaje na mimi kuwa nilihusika.

Mwambieni mwenyekiti wenu aunde tume huru kama alivyodai mwenyekiti wangu ili tujue ukweli na uongo mbona mnaogopa kama hii ishu haikufanywa na ccm
 
wewe naona ndo huwa unaonja madawa ya kulevya hapo lumumba,akil zako ni za kiteja sana.
Kwa tarifa yako naweza kukutunza wewe na mkeo mkaishi kwa kutumia akili yangu siyo wewe ambaye unatumika kizembe mpaka hujitambui hata kidogo kazi inaendelea babu hana mvuto tena kaconga kama chadema kilivyochoka sijui mtapita njia gani wakati ukifika.
 
Mwambieni mwenyekiti wenu aunde tume huru kama alivyodai mwenyekiti wangu ili tujue ukweli na uongo mbona mnaogopa kama hii ishu haikufanywa na ccm
Jk hafanyi kazi kwa kushinikizwa na wehu yeye akitaka huo ushahidi wake awatafute hao majaji awape au awape wamarekani mbona mkanda wa mauaji ya mwangosi aliwapa wamarekani kwa nini na huo asiwape,kazi imeshaanza polisi watamnyosha tu mpaka kichwa kitakaa sawa aachenkuangalia upande.
 
Wewe nalima bangi au cocoa unataka uletewe viroba vya unga nyumbai kwako.

Wewe kweli umevurugwa hata kiswahili kinakugonga unaandika nalima badala unalima? Muulize waziri wako wa uchukuzi kwanini KOKOA zimeshuka bei baada ya yeye kuanzisha kampuni ya ununuzi wa zao hilo? Acha kubwabwaja na kuutumika washaulini magamba wenzenu badala ya kupiga yowe kwa kupigania buku 7. VIVA CDM
 
CCM wanazidi kupoteza kura. Kwa bahati mbaya wanazitafuta CDM. Wanatumia polisi wenye bunduki na mabomu, wanapekua kila ofisi ya CDM na kwenye nyumba za viongozi wa CDM wakizitafuta kura zao. Masikini CCM!!! Laiti wangejua kuwa kura zao hazipo CDM...

Zifuatazo ni baadhi ya sehemu ambako kura za CCM zimepotelea, nawashauri waende huko wakazitafute...

1. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea kwa wafugaji wa kimasai na kibarbeig, ambao wamenyang'anywa ardhi yao kule Loliondo akapewa mwarabu, na walipojitahidi kujihifadhi sehemu nyingine kama wakimbizi tunashuhudia wakiondolewa bila huruma kule Korogwe, Ihefu na Rufiji...

2. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea Mtwara, ambapo wakazi wake wanalilia raslimali ya gesi iwafaidishe, lakini wameishia kuvuliwa nguo, kuchapwa viboko na kuuawa...

3. Kura za CCM zimepotea kwa maelfu mikononi mwa wakulima wa korosho, ambao walilaghaiwa kuuza kwa stakabadhi ghalani, wakaishia kuliwa...

4. Maelfu na maelfu ya kuza za CCM yamepotelea mikononi mwa wakulima wa pamba, ambao bei ya zao lao inazidi kuporomoka kutokana na CCM kubinafsisha kiholela na kuua viwanda vya nguo nchini na kisha kushindwa kuwatafutia bei nzuri kwingineko...

5. Makumi na mamia elfu ya kura za CCM yamepotelea mikononi mwa wanafunzi waliomaliza form 4, wazazi wao na jamaa zao ambao pamoja na kupoteza fedha na muda mwingi kugharamia elimu, wameishia kufeli kutokana na mazingira mabaya ya elimu...

6. Maelfu ya kura za CCM yamepotelea mikononi mwa wamachinga, ambao wanatumia nguvu na uwezo wao kujtafutia rizki, lakini kila siku wananyanyaswa na mgambo...

7. Kura za CCM maelfu zimepotelea mikononi mwa wananchi wa kule Songea, kule Ifakara na kule Ngara ambao walishuhudia maisha ya wenzao yakikatizwa bila hatia na polisi wa CCM...

8. Kura za CCM zimepotelea mikononi mwa walimu ambao ambao wanadhulumiwa jasho lao, na walipojitahidi kuzidai hadharani wakaishia kukatazwa mahakamani na kutishiwa kufukuzwa kazi...

9. Maelfu ya kura CCM yamepotelea mikononi mwa madaktari ambai wanafanya kazi katika mazingira magumu na mishahara duni, na pale walipojaribu kudai, wakashuhudia mwenzao aking'olewa kucha na meno bila ganzi...

10. Kura za CCM zimepotelea mifukoni mwa wakulima, ambao hawana pembejeo, na pale wanapojitahidi na kupata mavuno kidogo mashamba yao hayafikiki kutokana na ubovu na kukosekana kwa barabara...

11. Kura za CCM zinazidi kipotelea mikononi mwa wanaotumia simu za mikononi, ambao pamoja na kulipa ghali kununua na kutumia simu, bado wanakamuliwa sh 12,000 kila mwaka kuchangia ununuzi wa mashangingi ya viongozi wa CCM, kugharamia matumizi kwenye nyumba ndogo zao na kusomesha watoto wao wavivu Ulaya...

Nawashashauri CCM waje huku nilikowatajia wakazitafute kura zao, tena hawana haja ya kuja na polisi wala mabomu. Zipo tu. Wajue kwamba hata wapekue kwa miaka 10, hawataikuta kura yao hata moja kwenye ofisi za CDM wala nyumbani kwa viongozi wao, kwani hazipo kule. Tunazo sisi humu mtaanii....
mkuu umeingia kwenye orodha ya watakaopata PHD chuoni kwangu, hapa waweza kutoa propasal tano nazo zote ukapata PHD na si huyo mwenye PHD za uongo Dr dr dr dr drKJ
 
Back
Top Bottom