Connect Dots: Jambo Leo Liliandika "Maisha ya Mwakyembe Hatarini"... Pinto aliwasindikiza Airport!

Mwisho wao umekaribia,hatukutarajia kusikia yote haya,tuombe Mungu awaanike na wengine japo serikali hii dhaifu inayonuka rushwa haitowachukulia hatua yoyote

Kuujua ukweli tu ni hatua moja nzuri. Hayo ni makosa ya jinai na huwa hayaozi. Muhimu ni kutunza ushahidi unaopatikana sasa na utakuja kutumika wakati utawala wa haki utakapo chukua nafasi. Tumeyaona hayo sehemu nyingi,wapo ambao walikuwa hata wakiua wao au watoto wao hakuna wa kuhoji ila yaliyo watokea baadae waliona ni kheri wasingelizaliwa.
 
William-Malecela-pamoja-na-Juma-Pinto-mwandaaji-Miss-Tz-kanda-ya-Ilala.jpg


Juma Pinto? Kaaazi ipo...!
 
Mi nashangaa sana hii kweli imeoza sana watu wengne wakitajwa wanakamatwa kwenda kutoa maelezo polisi,lakin watoto wengi wa vigogo na vigogo wametajwa humu waziwazi hawajaitwa polisi hata kwa mahojiano
 
sasa nimeelewa,mtoto wa kigogo ni Kinje na mmiliki wa vyombo vya habari n Juma Pinto,dawa yao inachemka siku zote hakuna marefu yasiyo na ncha
 
From 14th july to 30th i was in south africa. Nimepata mengi na kuona mengi hasa mitaa ya hillbrow. 90% ya wabongo wanauza unga. Na kinje nilimuona. Lisemwalo lipo. Pinto tumekuwa pamoja fani yake ni mpira pale nunge moro
 
Maafisa watiifu washayaandaa majalada ya Kesi Zao ....pale GSO...wanasubiri mzalendo atakayeingia 2015 au Siku za mbele yake ...wamkabidhi ...Watu wanafunguliwa hadi Kesi za miaka 50 iliyopita hii 10 haitupi shidaa.....iwe Saidi L au Juma P ...au Yule Said G ambaye vijana wa Taifa washaamua kumfanyia kazi ..haijalilishi....


Hata huyu Said L....... vijana wa taifa wanamfanyia kazi
 
nani Mmiliki wa Jambo leo?
inawezekana ndio janja ya kumtishia ili asitishe mapambano yake
kaza but Mwakyembe ingawa una kashfa ya kudanganya bunge kwenye bajeti 2011/2012 kuhusu kasma feki
lakini kwa hili la madawa endeleza gurudumu,
tutakuhukumu 2015
 
halafu cha ajabu Thread kama hii huwezi kuta Ritz, Rejeo, HAMY-D na co wao wanachangia chochote lakini kwenye Current User wanaopitia thread utawakuta.

Wachangie wakati ni dili ya chama chao!?? wanatamani watetee ila ndo vile tena wanaogopa wataharibu zaidi kazi ya bosi wake..
 
Mkuu ni yupi kati ya hawa?
kweli huyu ni MAFIA,tutamfanyia kazi ajue kuna kazi nyingine za kufanya...lazima akanyooshwe SEGEREA au KEKO hakuna kutoka MAISHA na ndugu zake wajiandae kama wamo kwenye hili game
 
Back
Top Bottom