Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
Baada ya kuingia mkoani Mara kwa mbwembwe,leo jioni katika viwanja vya wazi mjini Bunda katibu Mkuu wa CCM na katibu wa itikadi na uenezi wamekumbana na zomea zomea baada ya Nape kusema kuwa Wassira aliwakaribisha wapinzani Ikulu kunywa chai sasa wana njaa na wanataka tena Chai.
Imebidi Kinana atumie busara kwa Kusema hata Wasira hajatimiza wajibu wake wa kuwaletea wana Bunda maendeleo ikiwemo maji, hapa mjini Bunda polisi wanahaha kuwasaka vijana kwa kuwaweka ndani kwa taharuki iliyojitokeza.
Nawasilisha
Imebidi Kinana atumie busara kwa Kusema hata Wasira hajatimiza wajibu wake wa kuwaletea wana Bunda maendeleo ikiwemo maji, hapa mjini Bunda polisi wanahaha kuwasaka vijana kwa kuwaweka ndani kwa taharuki iliyojitokeza.
Nawasilisha