Ukiwa na Leseni ya Bara hauruhusiwi kuendesha gari Zanzibar!

Apr 26, 2013
57
86
Inasemekana kuwa Zanzibar na Tanganyika viliungana na Tanzania ikapatikana.

Ukiwa Tanganyika kama unatokea Zanzibar kwako ni ruksa kila kitu, ila ukiwa Zanzibar umetokea Tanganyika ndipo majanga yanaposhamiri.
Huwezi tumia Lesseni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa amani mpaka uwe na Foreigner Driving Permit kama hii niliyoiambatanisha hapa:

Then Muungano huu uko wapi? Midomoni mwa watawala? Mbona Mwaniita wa kuja na mwenge wakati mie nimekuja na boat ya AZIZA

Driving Licence.jpg


attachment.php
 
Natamani jina la Tanganyika linanipa raha kulitamka natamani sikumoja UN waitambue Tanganyika na sio Tz
 
Inasemekana kuwa Zanzibar na Tanganyika viliungana na Tanzania.
Ukiwa Tanganyika kama unatokea Zanzibar kwako ni ruksa
  • Kununua kiwanja, kujenga na kuimiliki ardhi officialy kama mtanzania, lkn ukiwa Zanzibar hauruhusiwi kuwa na endapo utafanya hivyo utaishi kama mkimbizi
  • Hata kama una driving Licence ambayo umeitoa sehemu yoyote ile lazima upewe FOREIGNER DRIVING LICENCE PERMIT kama yangu hapa ambayo niliipata Manisipaa ya TEMEKE.
  • Kila utakapoenda kutaka huduma yoyote utanyanyapaliwa kwa kuwa wewe ni wa Tanganyika tuu.
Ukinunua chochote uambacho huku waweza kitumia kama kawaida mfano gari, ukifika bandarini, kodi yake utajuta kukisafirisha chombo hiki! Mbona nikichukua kitu Morogoro Kuleta DSM sitendwi haya? AU ni kwa vile huku kuna
  • Rais wake
  • bendera yake
  • Mawaziri wake
  • Bunge lake
  • Mahakama yake
  • Vyuo vyake
  • Serikali yake tena ya Mapinduzi
  • Sheria zake
  • Uhuru wake
Then Muungano huu uko wapi? Midomoni mwa watawala? Mbona Mwaniita wa kuja na mwenge wakati mie nimekuja na boat ya AZIZA

Si nao wapo Bara? Jicho kwa jicho inasubiri nini!
 
Inasemekana kuwa Zanzibar na Tanganyika viliungana na Tanzania.
Ukiwa Tanganyika kama unatokea Zanzibar kwako ni ruksa
  • Kununua kiwanja, kujenga na kuimiliki ardhi officialy kama mtanzania, lkn ukiwa Zanzibar hauruhusiwi kuwa na endapo utafanya hivyo utaishi kama mkimbizi
  • Hata kama una driving Licence ambayo umeitoa sehemu yoyote ile lazima upewe FOREIGNER DRIVING LICENCE PERMIT kama yangu hapa ambayo niliipata Manisipaa ya TEMEKE.
  • Kila utakapoenda kutaka huduma yoyote utanyanyapaliwa kwa kuwa wewe ni wa Tanganyika tuu.
Ukinunua chochote uambacho huku waweza kitumia kama kawaida mfano gari, ukifika bandarini, kodi yake utajuta kukisafirisha chombo hiki! Mbona nikichukua kitu Morogoro Kuleta DSM sitendwi haya? AU ni kwa vile huku kuna
  • Rais wake
  • bendera yake
  • Mawaziri wake
  • Bunge lake
  • Mahakama yake
  • Vyuo vyake
  • Serikali yake tena ya Mapinduzi
  • Sheria zake
  • Uhuru wake
Then Muungano huu uko wapi? Midomoni mwa watawala? Mbona Mwaniita wa kuja na mwenge wakati mie nimekuja na boat ya AZIZA
Umefuata nini Huko si urudi Tanganyika
 
Hatima ya uhai wa Tanzania ipo mikononi mwa 'werevu wachache',kwa maana sio 'wajinga' ambao ni wengi kuliko werevu watakaoiingiza nchi shimoni!
 
Halafu kuna viongozi wanasema huu muungano unafaida....

sasa hivi wasemage muungano unafaida kwa wa Zanzibar tu.!!
 
Yaani hata ukiwa kwenye nchi za SADC unaruhusiwa kutumia Driver's License ya Bongo kama kawaida. Hiingii akili kupewa Permit as a foreigner in the same country. Kama ndiyo kutafuta pesa kuna njia nyngi tu zaidi ya hii.
 
Yaani hata ukiwa kwenye nchi za SADC unaruhusiwa kutumia Driver's License ya Bongo kama kawaida. Hiingii akili kupewa Permit as a foreigner in the same country. Kama ndiyo kutafuta pesa kuna njia nyngi tu zaidi ya hii.
mkuu tatizo wazanzibar tunawabembeleza kama mayai...
 
Natamani siku ya Kuzaliwa tena Tanganyika yetu afufuke Nyerere na Karume tuwaweke upande mmoja na Mzee Aboud Jumbe atangazwe Shujaa wa Tanganyika kwa kuwa ndiop mtu Pekee aliethubutu kupigania Taifa la Tanganyika japo alijua itaweza kumpotezea Urais wake! 1983 aliona umuhim wa Tanganyika wakat Nyerere akiwa na Wazo mgando!
 
Back
Top Bottom