Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

Azzan tema mate chini everybody knows that yuh a drug dealer haya hadi punda kakutaja njoo ujibu ile mil150 uliyopigwa na wajanja kwa kukuuzia kiwanja feki mbona haufatilii oysterbay mwendo wa kesi? Ghorofa unalojenga pale kona geleji limeisha? Daladala zako zishafika 50?

Ukiskia udaku na wivu ndo huu!
Unaposema everybody knows! Unakuwa umeongea pumba tu!
If that is the case. Basi huyu jamaa angeshakuwa jela looooong time!
 
Anaomba vyombo vya usalama vimchunguze? Vyombo vya usalama navyo ni watuhumiwa, madawa yanapita JKN airport chini ya usimamizi wa wanausalama. Tunaomba atueleze utajiri wake umetokana Jackpot gani?
 
Kama
kawaida thread kama hizi guests huwa ni wengi kuliko members. Ona hapo
chini:

There are currently 165 users browsing this thread.
(43 members and 122
guests)

Hii nchi bhaana ina watu wa ajabu sana,hv kuwa member wa zamani nao ni ujiko..!? Km wachangiaji wengi ni wageni ww tatizo lako nn?
 
Nashangaa ansema atajiuzulu tu, hiyo sio adhabu ya wauza unga.! ni kwamba atafikishwa mahakamani kwaiyo amejiuzulu hakujiuzulu hiyo ni hulka ya wana ccm kutojisikia kuwajibika. ------- sana huyu.

kwa CCM ukishajiuzulu ndio adhabu ya mwisho kwao_
jairo
EL
maige
walijiuzulu na ikaishia hapo
 
sasa akijiuzulu ndio itasaisia nini wakati asharibu watoto wa watu na nguvu ngazi,alafu anavyosema ikibainika ataachia uongozi hii inaonyesha anahusika kama hausiki hawezi kusema ikibainika,
 
Ukamatwe kwanza uwekwe lupango ili haki itendeke katika sakata hili!! wewe una chuki na nani? Why you only!

Unatuchanganyia lugha matokeo yake tunashindwa kukuelewa!

We unadhani tuko rwanda hapa!
Ukamate tu uweke ndani! Ushahidi?!
Au umevuta yale majani yaliyo haramishwa!
Uliposema "why you only"
Kama ulikuwa na maana ya "why only you?"
Maneno hayo si kweli!
Kuna wabunge na viongozi wa serikali kedekede ambao walikutwa na kashfa kama hii akiwe na yule mwana mama mlokole! Na mpaka leo wanatesa tu mitaani!
Kama hakuna ushahidi! Basi hakuna kesi! Na ndio raha ya kuishi ktk nchi yenye domokrasia!
Sio kwa wahutu na wakongo hapa! Kila kitu ni maguvu tu!
 
Mkuu sitaki kuamini kama wewe huwajui wananchi wa TZ.

ANYWAY NIMEKUELEWA KAKA.
Mkuu nimekuelewa na ninatumaini ninawaelewa.

Watanzania kwa sasa wametanguliza mapenzi ya vyama mbele sana na huku wengine wakiwa ni wanafiki wa kupindukia mpaka kiasi wako hata kutetea majambazi yaliyokamatwa red-handed kwa vile ni sehemu ya wananchama au wapenzi wao.

Hao hao wanaosema huyu jamaa aachie ngazi, kesho likitokea tukio kama hii kwa upande wao, hao hao watasema hawezi kujiudhuru. Kwa mantiki hii, huyu jamaa hata ametenda kosa anapata nguvu kiasi cha kumfanya kuendelea kung'ang'ania kukaa kwenye kiti chake.

Kama hakuna msukumo wa pamoja kutoka kwa wananchi bila kujari itikadi na mitazamo yao, hata vyombo vya dola havitapata pressure kufanya kazi inavyotakiwa. Hata mapungufu ya vyombo vya dola nchini yanasababishwa na mambo kama haya.

Hata kwenye huu uzi watu kwa sasa wanajadili kwa mapenzi na itikadi za chama utafikiri Azzan ni CCM na CCM ni Azzan. Hii inasababisha hata mantiki ya mjadala kuwa kaput.

Kama wananchi wangekuwa wanatenganisha mtu na chama basi kusingekuwa na majadiliano ya kijinga kama haya.
 
Hii nchi bhaana ina watu wa ajabu sana,hv kuwa member wa zamani nao ni ujiko..!? Km wachangiaji wengi ni wageni ww tatizo lako nn?

Wewe unaelewa maana ya "guest" status hapa JF? acheni kuingia humu bila kuzisoma terms and conditions vizuri. Hapa hakumaanisha "mliojiunga majuzi" bali wale ambao hawajajiunga kabisa JF. Hao ndio "guests" wenyewe!

cc: Moderator Paw Invisible
 
Last edited by a moderator:
Halafu huyu Idd kuna kada mmoja wa magamba aliyekuwa mwenyekiti mkoa wa dsm kwa jina la somebody kirumeng'enda sina kumbukumbu sahihi ya cheo na jina halisi aliwahi kumtaja live bila chenga kuwa mbunge anauza unga!!cjui ile kesi iliishia wapi mwenye data zaidi atujuze kwa manufaa ya jamvi plz.
 
Back
Top Bottom