YESSAYA I. JR.
Senior Member
- Oct 22, 2012
- 152
- 15
Hii ni aibu tosha kwa Jakaya Kikwete, aliwaambia wana-CCM pale Dodoma eti Mwigulu ndiye anayewaweza CHADEMA. Matokeo yake akamfanya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara. Hivi ni kweli kwamba JK hajui reputation ya CCM ndani na nje ya nchi? Hadi kuchagua na kuwashabikia watu O.V.Y.O. na T.A.KA TA.KA kama Mwi.g.u.lu? kukiongoza chama!
Anawachukua kina Nepi, kina Tembo laga kukiongoza chama? Hivi ni kweli kwamba CCM imekosa watu wakukionesha chama staha yake, hadi ateuwe watu vicha.ka hawa. Wananu.ka UVUNDO kila sehemu ya maungo yao kwa tuhuma kedekede, kuanzia wizi, rushwa, ubadhirifu, UFISADI, ukware na ubakaji (yamkini, hata ulawiti), UHUNI, uzandiki, udhulumati, ulimbukeni,WATU wasio na hofu kabisa ya Mungu, wang'oa kucha na meno ya watu pasipo ganzi, wauza na wanunuzi wa viungo vya albino, wanyhwa damu za watu(vampire), magaidi, na kila uovu uu ju yao.
WANA TABIA MOJA NDIO MAANA WALICHAGUANA SI BURE JAMANI!