Search results

  1. M

    Paul Makonda: Kuanzia 01.03.2019 kila mtu lazima awe na kitambulisho cha machinga au ajira, kama huna we mhujumu uchumi

    Hebu nenda kalipe kodi badala ya Kuwa unalia hajasema wakazi amesema wafanyabiashara wenye turnover ya chini milion 4 au wamachinga. Sasa nikuulize wakazi wote wa Dar ni wamachinga? Tufanye kazi na kulipa kodi hutaki rudi kijijini ukalime.
  2. M

    Sherehe za Mapinduzi: Fahali wawili hawakai zizi moja

    Hebu Mshauri basi Mzee akubali tu zanzibar wajiendee kwavile ni hasara kubwa kwenu uone jinsi Znz itakavyobadilika. Kwanza wazanzibari washajistukia ndio maana umesikiliza hotuba wanachanja mbuga (Uchumi umepaa wakati huku kwetu unachechemea). Au unadhani ile 6.3% imetokea wapi
  3. M

    Kamanda wa Malawi aapa kulinda Ziwa Malawi

    Mkuu Paskali, Heshima yako kwa hoja hii je na Mlima Kilimanjaro, Ukanda wa pwani Km 12 ndani kutoka Lamu hadi Msumbiji na Rwanda na Burudi je unasemaje? Ulimsikia Professor Sharif wa Zanzibar alisema nini kuhusu waingereza na Tanganyika?
  4. M

    Kweli Jakaya Kikwete ni 'mtoto wa mjini'

    Nacheka sana karibu akhi mtaa wa magomeni upate Halua ya Gidemi na kahawa kidogo.
  5. M

    TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

    Farewell Dena Amsi RIP. You will greatly missed
  6. M

    TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

    Farewell Sheikh Aboud Jumbe mmungu akulaze mahala pema peponi, sisi ni wa mmungu na kwake tutarudi
  7. M

    Mufti mfikishie salamu zetu Mh rais atapofika kama mgeni rasmi katika hilo baraza la Eid...!

    Takwimu zako ziweke vizuri 2020 utazihesabu vizuri, si mlikuwa mnapigia debe mgombea wenu wa mabadiliko na yule mwengine padri, na kote mkashindwa. Sasa subirini maajabu 2020.
  8. M

    Mufti mfikishie salamu zetu Mh rais atapofika kama mgeni rasmi katika hilo baraza la Eid...!

    2020 sio mbali The Big Show. Vumilia si unajua wenzetu wanasema hatujasoma sisi wazee wa kariakoo japo vyuoni na uraiani wasio na kazi na degree vijana wetu wapo wengi.
  9. M

    Video na Picha: Rais Magufuli afuturisha viongozi mbalimbali

    Sijamuona mufti hapo kwahiyo sidhani kama Bakwata wameshirikishwa labda ile kamati ya amani na vijana wa mujini (maana hadi mboni ndani duh! ). Hapo dili kwenda mbele. Naomba urekebishe kauli yako.
  10. M

    Kumbe polisi wa usalama barabarani wanawekewa malengo ya kutoza ushuru!

    Mahakamani kwa fine ya 30,000 halafu kesi karani aipige kalenda miezi, unategemea mtu anapata haki yake. Unapoteza pesa nyingi kwa ajili ya kuokoa 30,000. Kimsingi polisi kuna idara ya maadili ichunguze madai haya ama sivyo wananchi watakuwa wanabambikiziwa makosa pasina sababu ya msingi. Hilo...
  11. M

    Kumbe polisi wa usalama barabarani wanawekewa malengo ya kutoza ushuru!

    G Sam ni kweli polisi sasa hivi wamekuwa wanalazimisha makosa ili wakufaini, Tafadhali magufuli tunaomba utusaidie, jana nimepewa kosa ambalo silielewi mtu hajafunga mkanda yuko siti ya nyuma naambiwa dereva ndio alipe fine. Sasa nimeangalia Traffic Act sijaona mahali natakiwa dereva nilipe fine...
  12. M

    Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

    Al-akh Dr Dau kamaliza kila kitu katika speech yake fupi iliyojaa hekima na busara. Wenye kuelewa wameelewa wasioelewa wakale viwembe. Wazee wa fitna sijui wamelala wapi sasa hivi
  13. M

    Rais Magufuli, this is serious. Tafadhali usiruhusu hili!

    Mzee vp umeguswa nini maana majipu huwa na mizizi sehemu na wewe ndio mzizi wenyewe nini magufuli kakugusa. Vumilia au achia ngazi hizi ni zama mpya za uongozi.
  14. M

    Kutoka Vijibweni: Rais Magufuli azindua daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge)

    Wazee wa husda mpo na shughuli imeisha mliyemtaka kaja na kazungumza semeni jengine. Bado fitna zenu mlizopeleka za kuchukua CAG report isiyokamilika mkadai imekamilika uchunguzi unaendelea mbivu zitajulikana tu.
  15. M

    Done Deal: Uganda chooses Tanzania over Kenya in Oil Pipeline deal

    Huyu mwandishi amefabricate a lot of information. This is very dangerous
  16. M

    CAG aikana ripoti feki ya NSSF, asema ripoti itatolewa na Bunge Aprili 25

    Hawa watwana inabidi niwakaribishe kahawa ya tangawizi inasaidia kupunguza fukuto la roho walilonalo dhidi ya mzee wa watu. nawashauri mtengeneze kahawa ya tangawizi inasaidia kuondoa fukuto la roho na chuki
  17. M

    CAG aikana ripoti feki ya NSSF, asema ripoti itatolewa na Bunge Aprili 25

    Unalazimisha uwepo kwani wewe ndiye uliyefanya ukaguzi kuna mijitu ina akili sijui za panzi. Ah wacha nishushie kahawa yangu na tende.
  18. M

    CAG aikana ripoti feki ya NSSF, asema ripoti itatolewa na Bunge Aprili 25

    Yupo anapumzika na likizo yake ya kustaafu huku akishushia pensheni yake aliyopata kutoka kuwa mkurugenzi mkuu wa benki ya Amana.
  19. M

    CAG aikana ripoti feki ya NSSF, asema ripoti itatolewa na Bunge Aprili 25

    Kibao kimegeuka kuna watu watatoka from ubossi hadi kunyea ndoo segerea wewe subiri. Unafiki mbaya sana anyway wacha nikanywe kahawa pale cosmopolitan sheikh wangu. Si unajua sisi waswahili wa gerezani hatujasoma bana.
  20. M

    CAG aikana ripoti feki ya NSSF, asema ripoti itatolewa na Bunge Aprili 25

    Alipokuwa Utoah hakuwa akitumika kusafisha wakorintho wenzie acheni unafiki subirini haki itendeke. Mkuu wetu si kasema anamuogopa mungu basi kama ni kweli basi atafanya haki. Sina shaka na utendaji wa Assad ni mpenda haki na wote UDSM wanamjua hata Mukandara namba anaisoma kwa Assad. Subirini...
Back
Top Bottom