Kamanda wa Malawi aapa kulinda Ziwa Malawi

Hata mi naona wapewe ziwa lao lote isitoshe halitusaidii chochote
Waulize watu wa Kyela, Nyasa na Ludewa ndipo utoe uharo huo. Kwani ziwa Tanganyika linatusaidia nini watu wa Ruvuma? ikitokea mgogoro na DRC tucomment halitusaidii?
 
Ni kweli haingii akilini lkn kinachozungumziwa hapa legitimacy ya madai ya malawi. Malawi wamepewa ramani inayoonyesha ziwa ni lao sasa wamekosea nini?
Watagundua wamekosea pale bwawa kubwa lichimbwe mto Ruhuhu, level ya maji ipungue ziwani ndo wanaweza kuona wapi wamekosea.....maana kusema maji yote ni yako na kuwaambia wengine waishie kwenye mwambao kwa sababu mkoloni alisema hivyo, simply ni kukosa rational thinking.
 
Watagundua wamekosea pale bwawa kubwa lichimbwe mto Ruhuhu, level ya maji ipungue ziwani ndo wanaweza kuona wapi wamekosea.....maana kusema maji yote ni yako na kuwaambia wengine waishie kwenye mwambao kwa sababu mkoloni alisema hivyo, simply ni kukosa rational thinking.
Hapana hawajasema ziwa ni lao ramani ndiyo imesema kwahiyo cha msingi ni kuibadilisha ramani sio kuwalaumu malawi kwani hawajaichora na wala hawajahusishwa kwenye ngazi yoyote ya uchoraji wake.
 
Waache bange wafanye kama alivyofanya Idd Amini ili tumfanye kama tulivyomfanya Idd Amini shenz zake
Mkuu nakuunga mkono, lakini kwa hali hii tuliyonayo ya kiuchumi si rahisi kuingia vitani sabb vita ina gharama kubwa sana. Na kama tutathubutu basi tutegemee kipigo cha aibu. Hali ya uchumi ni mbaya na tunakoelekea ni pabaya sana
 
Huyo kamanda hajakosea kabisa maana ata na huku makamanda wetu wanahapa kwa kutamka maneno kama hayo kua tutailinda Tanzania na mipaka yake. Hii mada ni nzuri kuijadiri katika mstakabari wa uelewa na kisheria lakini kwakua mihemko siku hizi inatawala basi tutaijadiri kimihemko.
Kwanza tuangalie sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu mipaka iliyorithiwa na nchi za Afrika na pili tujadiri kuhusu sheria ya inland water bodies inapotumika kua mpaka inakuaje maana kuna tofauti katika sheria hizi
 
Hapana hawajasema ziwa ni lao ramani ndiyo imesema kwahiyo cha msingi ni kuibadilisha ramani sio kuwalaumu malawi kwani hawajaichora na wala hawajahusishwa kwenye ngazi yoyote ya uchoraji wake.
Kifupi waambie waje walinde nchi yao. Lakini wakiingilia mipaka yetu tunawaondoa kwa nguvu.
 
Hapana hawajasema ziwa ni lao ramani ndiyo imesema kwahiyo cha msingi ni kuibadilisha ramani sio kuwalaumu malawi kwani hawajaichora na wala hawajahusishwa kwenye ngazi yoyote ya uchoraji wake.
Wewe bwana chikundu naona umetumwa si bure, kama mnajiamini ingieni basi mlichukue hilo ziwa. Mikelele ya nini sasa kama mnaona ziwa ni lenu
 
Waache masihara hawa hawajawah kupigana hata na waasi Malawi hata kupigana na kundi kama hisbullah au all shabab watapigwa
 
Kuna wimbo tulikuwa tunauimba enzi zetu zile

Banda wa Malawi, katuvalia Ngozi ya Chui, kututishia watanzania, hatujali hatujali....

Malawi wanatikisa kiberiti

Hii vita ni ya mufa mrefu
 
Mkuu nakuunga mkono, lakini kwa hali hii tuliyonayo ya kiuchumi si rahisi kuingia vitani sabb vita ina gharama kubwa sana. Na kama tutathubutu basi tutegemee kipigo cha aibu. Hali ya uchumi ni mbaya na tunakoelekea ni pabaya sana
Acha woga ,tangaza vita hata sasa hivi ndo uone moto wetu,huu uchumi ni mzuri kuliko wakati wa vita vya kagera, waambie waseme suuuuuu ,hatujaribiwi
 
Kwa kawaida kelele za jirani haziwezi kumkosesha mwenye nyumba usingizi. Mipaka ya kwenye maji, bahari, mito na maziwa ina formular yake ya calculating, hivyo waacheni Wamalawi wajifurahishe tuu, mwisho wa siku mpaka ni pasu kwa pasu kama ulivyowekwa na ule mkutano wa Berlín wa 1884 na sio mkataba wa Hellingoland kwa sababu Waingereza walikabidhiwa Tanganyika just as a protectorate na sio colony, huwezi kumega kipande cha kitu cha dhamana na kukimegea koloni lako.

Paskali

Mkuu Paskali,

Heshima yako kwa hoja hii je na Mlima Kilimanjaro, Ukanda wa pwani Km 12 ndani kutoka Lamu hadi Msumbiji na Rwanda na Burudi je unasemaje? Ulimsikia Professor Sharif wa Zanzibar alisema nini kuhusu waingereza na Tanganyika?
 
achana naee alisahauu mwaka juzi jakayaa aliivyomplekeaa ndege anganii kwenye uwanja wake wataifa mwishowee raisi anakubalii sasa huyoo mwanajeshii si kuwakamataa na kuchinjaa tu dk mbilii
 
Back
Top Bottom