Na Magu anajitegeshaga hapahapa wakati akisalimiana na katibu ili picha ichukuliweHivi katibu mkuu wa chama anajiskiaje akiangalia hiyo picha ukutani pembeni yao
Unafahamu umuhimu wa futari katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan?JPM tayari ameanza kujisahau, badala ya kutumia pesa hiyo kuongeza mabasi 6 yaendayo kasi anafuturisha watu wenye uwezo wao badala ya maskini.
Sheikh wangu wa mtaa nakutuma niombee kwa mwenyeji wenu hata vijiko kadhaa vya sukari huku saiti uji haupandi.
Ameen!Allah amuongoze kwenye haki.
Namshauri Rais anapofanya maombi na sala atumie hii.
"Guide us to the straight path -
The path of those upon whom You have bestowed favor, not of those who have evoked [Your] anger or of those who are astray."
Link Surah Al-Fatihah [1]
Sidhani kama anapáswa kulaumiwa!Ang'efanya jambo jema kama ang'eenda kufuturisha wazee wasiokuwa na uwezo siyo hao waliojishibia matumbo yao.
Sijamuona mufti hapo kwahiyo sidhani kama Bakwata wameshirikishwa labda ile kamati ya amani na vijana wa mujini (maana hadi mboni ndani duh! ). Hapo dili kwenda mbele. Naomba urekebishe kauli yako.Sidhani kama anapáswa kulaumiwa!
Najua 100% atakuwa alituma mualiko BAKWATA na wao ndio watakuwa wamekuja na team hiyo!
Lakini hata hivyo raisi hajafuturisha kwa lengo la kuwatafutia suluhu wenye njaa! Yeye atakuwa symbolically ameonesha ushirikiano mwema na waislam! Kama alivyoenda Azania front au kwa mzee wa upako!
FUTARI AT THE STATE HOUSEWhat so special here
Sheikh Jongo ametajwa kama Kaimu Mufti na ametoa rai katika State House podiumSijamuona mufti hapo kwahiyo sidhani kama Bakwata wameshirikishwa labda ile kamati ya amani na vijana wa mujini (maana hadi mboni ndani duh! ). Hapo dili kwenda mbele. Naomba urekebishe kauli yako.
Maombi na si futari !Kisa futari?
Nani alikuwa anagawa kadi za mwaliko? Mbona wamegawiana kwa kujuana tu?
Mufti yuko safarini nje ya nchi kikazi.Sijamuona mufti hapo kwahiyo sidhani kama Bakwata wameshirikishwa labda ile kamati ya amani na vijana wa mujini (maana hadi mboni ndani duh! ). Hapo dili kwenda mbele. Naomba urekebishe kauli yako.
Hapana.Kumbe rais Magufuli anajua KUSOMA hotuba!!