TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Ni habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.

Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.

Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.

Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.

R.I.P Dena Amsi

Oh my this is very sad. Nimesikitika kwa kweli. Namwombea Mungu amrehemu na kuipa faraja familia yake, ndugu na jamaa wakati huu wa mshtuko na masikitiko. Amina.
 
Natamani sana angekuwa anazisoma hizi msg na condolences zenu kwakweli inauma sana lakini ndo hivyo Mungu keshatoa uamuzi wake tushukuru tu.

Kifupi huyu Dada ndio alini introduce kwenye Jamii Forums maana alikuwa akirudi home atakaa kwenye laptop akisoma na kuchangia huku akicheka saana! Ilinibidi nimsogelee kumuuliza mbona peke yake kucheka na laptop kila akirudi home na sisi kutupa muda mfupi wa maongezi naye?
Ndipo akanionesha jf na akaielekeza namna ya kujiunga.

Dena Amsi yaani jina la Bibi yake mzaa Babaake sio Id aliyoanza nayo humu, alianza na nyingine nimeisahu kwa mshtuko nilio nao juu ya msiba huu, ila ndugu mtabuzi anaweza kunisaidia kukumbusha id ya kwanza ilikuwa ipi.

Tumempumzisha leo yapata saa tisa alaasiri kwenye makaburi mapya Mbweni Dsm.
Sisi ni Wakristu tunaoamini katika uzima wa milele, hivyo tufarijike kwamba mwenzetu kapumzika katika utukufu wa Mungu Baba.
Poleni sana mkuu.
Mungu mwenyezi awape faraja
 
Natamani sana angekuwa anazisoma hizi msg na condolences zenu kwakweli inauma sana lakini ndo hivyo Mungu keshatoa uamuzi wake tushukuru tu.

Kifupi huyu Dada ndio alini introduce kwenye Jamii Forums maana alikuwa akirudi home atakaa kwenye laptop akisoma na kuchangia huku akicheka saana! Ilinibidi nimsogelee kumuuliza mbona peke yake kucheka na laptop kila akirudi home na sisi kutupa muda mfupi wa maongezi naye?
Ndipo akanionesha jf na akaielekeza namna ya kujiunga.

Dena Amsi yaani jina la Bibi yake mzaa Babaake sio Id aliyoanza nayo humu, alianza na nyingine nimeisahu kwa mshtuko nilio nao juu ya msiba huu, ila ndugu mtabuzi anaweza kunisaidia kukumbusha id ya kwanza ilikuwa ipi.

Tumempumzisha leo yapata saa tisa alaasiri kwenye makaburi mapya Mbweni Dsm.
Sisi ni Wakristu tunaoamini katika uzima wa milele, hivyo tufarijike kwamba mwenzetu kapumzika katika utukufu wa Mungu Baba.
poleni sana wafiwa
 
Poleni sana Mkuu. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

Natamani sana angekuwa anazisoma hizi msg na condolences zenu kwakweli inauma sana lakini ndo hivyo Mungu keshatoa uamuzi wake tushukuru tu.

Kifupi huyu Dada ndio alini introduce kwenye Jamii Forums maana alikuwa akirudi home atakaa kwenye laptop akisoma na kuchangia huku akicheka saana! Ilinibidi nimsogelee kumuuliza mbona peke yake kucheka na laptop kila akirudi home na sisi kutupa muda mfupi wa maongezi naye?
Ndipo akanionesha jf na akaielekeza namna ya kujiunga.

Dena Amsi yaani jina la Bibi yake mzaa Babaake sio Id aliyoanza nayo humu, alianza na nyingine nimeisahu kwa mshtuko nilio nao juu ya msiba huu, ila ndugu mtabuzi anaweza kunisaidia kukumbusha id ya kwanza ilikuwa ipi.

Tumempumzisha leo yapata saa tisa alaasiri kwenye makaburi mapya Mbweni Dsm.
Sisi ni Wakristu tunaoamini katika uzima wa milele, hivyo tufarijike kwamba mwenzetu kapumzika katika utukufu wa Mungu Baba.
 
Kwao na Dena Amse night Bunju A au Bunju Shule. ..

Ukifika Bunju A ulizia wapi ilipo Baa Juleva

Nyumbani kwao ni opposite na hiyo Baa.

Msiba upo hapo. . Baba yake anaitwa Mwalimu Komba

Sina details nyingine maana nipo nje ya Dar
Ubarikiwe sana kwa kutufahamisha. Ukweli moderator tuchange rambirambi kidogo wachache wakahani msiba kama atakuwa ameshazikwa.
 
Wakati nausoma huu uzi kwa masikitiko makubwa sana nimekutana na memba wa kitambo ambao walipotea...

Hii inaonekana kuna mawasiliano baina ya kila memba kutokana na ukaribu uliokuwepo hapa wakati wa kuchangia mada na imeleta urafiki...

Ni jambo jema sana hili,msiba wa Dena umetukutanisha tena...

Dark City
Rejao
ram
charminglady
Mr. Rocky
Belinda Jacob
Asprin

Na wengine wengi niliowaona humu...

NIseme tu ukweli kwamba huu msiba umeniuma sana sina la kufanya,Mungu amrehemu sana rafiki yangu Dena...

Daaah!!
Hata wewe umepotea sana, nadhani ulishahama rock city....JF nako huonekani kabisa bageshi
 
Mkuu kuna post inasema Dena Amsi keshazikwa leo tisa alasiri, hiyo alhamis utamuaga nani tena
5a3c60bd921241074264492a4ee27513.jpg

Mazishi yamefanyika leo saa tisa alasiri makaburi mapya mbweni
 
Kwenye huu uzi nimewaona watu ambao sikuwaona kwa miezi chungu nzima sasa. Wewe mwenyewe pia unaingia humu kwa nadra sana miezi hii ya karibuni. Nadhani kauli yangu iko accurate.

Hata wewe umepotea sana, nadhani ulishahama rock city....JF nako huonekani kabisa bageshi
 
Back
Top Bottom