Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Unafiki wao nini sasa.. Mbona mnakuza msio yajuaNingekuwa mwana familia nisingemruhusu hata kiongozi mmoja wa nchi hii asogee....ubaya ubaya TU bora
Unafiki wao nini sasa.. Mbona mnakuza msio yajuaNingekuwa mwana familia nisingemruhusu hata kiongozi mmoja wa nchi hii asogee....ubaya ubaya TU bora
Gwama, issue ya huyu Mzee ni ndogo tuu, baada ya kuona Zanzibar inabanwa, akautumia Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mgoa Wolfgang Dourado kuandaa hati za kisheria za serikali tatu, ziende BMW, Zanzibar iwe na mamlaka yake kamili. Wakamshirikisha Maalim Seif wakati huo kijana kada maarufu wa CCM, toka UV-CCM. Seif akapanda boat usiku usiku na kuzikabidhi hizo documents kwa Mwalimu, Mwalimu akaitisha kikao cha NEC cha dharura Dodoma, kwenye kikao Jumbe akaenda kama rais wa Zanzibar, akaonyeshwa document, kimya, akavuliwa nyadhifa zote na kurejea kama mfungwa, akutupwa kizuizini cha nyumbani kwake mpaka umauti ulipomkuta. Dourado yeye aliozea jela kwa muda mrefu, kisha akaachiliwa na kujifia!.Pasco...I know you know something, hebu tuwekee "chochote" hapa kuhusiana na shujaa huyu.
Especially kuhusu kile kikao cha Dodoma kilichomuengua Mzee wetu!
Bado hujajua tuUnafiki wao nini sasa.. Mbona mnakuza msio yajua
Jumbe hakua kizuizini, ameishi kwa Uhuru miaka yote akiwa mji mwema, akienda kokote anakotaka, Kuna wakati alisafiri kwenda arabuni, sijawahi kujua hii dhana ya kizuizini ililetwa na nani na watu wakaishupalia
Tatizo la nyerere alikuwa mdini sana
Nadhani kunajambo alisahau yakuwa alikuwa kiongoz na aliapa kuzikubali sheria na katiba huku akiwa ameshika Quran sasa nilazima ajuwe atazikwa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi zakuwazika viongozi. RIP mzee
Hakuna soft copy? Miie niko AlgeriaCalm...
Kitabu kipo unaweza kujaribu Masomo Bookshop Zanzibar.
Na aliefanya mpaka mzee Jumbe akateseka namna ile kwa kifungo kile cha dhuluma,huyo mtu atalipa na atapata adhabu kali kwa MUNGU.Kwani kile kifungo chake kule Kigamboni kiliisha?
Sasa wewe unataka kuleta kongamano au?,inajulikana kisiasa marehemu Jumbe alitengwa,na hii yote ilisababishwa na mchawi mmoja ambae sasa hivi anatumikia marungu ya moto kule kaburini kwake,na viongozi uchwara kwa kulinda matumbo yao na kujipendekeza kwa mabwana zao nao wakaogopa hata kumjulia hali yule mzee,mambo yako wazi na hakuna siri duniani hapa,kama wewe hujui basi kaa kimya sio kurukia watu na kuwauliza maswali ya kishoga.Wewe ulikaaa mlangoni kuona kama wanakwenda au hawaendi
,hakikaNingekuwa mwana familia nisingemruhusu hata kiongozi mmoja wa nchi hii asogee....ubaya ubaya TU bora
AAAAAMEEEEN BRO INSHALLAH.Sidhani mkuu...alikuwa mkweli kivitendo na kinafsi...!
....msomi "aliesoma" kwa kujifunza...!
....ukitaka kujua pia somo la "mambo ya kikulacho", na yote yenye kuambatana na dhulma ya usaliti ktk siasa, fuatilia maisha ya kisiasa ya waliomsaliti, al marhum, Aboud Jumbe Mwinyi!
...yeye alijiamulia kuishi maisha yake ya kawaida, nje na mbali na siasa zetu za kitanzania!
...Allah, amjaalie rehma, toba, na maghurfilla...
NI kweli anajulikana,lakini hata yeye leo hii ni KAPUKU tu na tena atakufa kifo kibaya MALAYA YULE.Unafiki mnao nyie UKAWA chimba historia ujue aliyemchongea babu yetu dodoma.
Pasco Mkuu nakusalimia bro,yaani ubarikiwe kwa maono yako.Salmar asante kwa taarifa hii. RIP Alhaj Aboud Jumbe.
Pasco
Unakipenda eenh.Wakati mwingine kifo ni pumziko.