kalimbwane
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 708
- 697
Tuvunje muunganoKwani Zanzibar si wana amiri jeshi mkuu wao, ambaye ndiye raisi wa Zanzibar.
Tuvunje muunganoKwani Zanzibar si wana amiri jeshi mkuu wao, ambaye ndiye raisi wa Zanzibar.
Ngese babayoWe ngese kweli badala ya kushukuru Pogba kukwepa sherehe ili aepuke kutapika makolokocho we unashangilia ujinga
Zanzibar haina majeshiKwani Zanzibar si wana amiri jeshi mkuu wao, ambaye ndiye raisi wa Zanzibar.
Kabisa muungano uvunjike tu maana umekaa kinafiki sana.Tuvunje muungano
Mojawapo ya sifa kuu ili nchi iitwe nchi ni kuwa na majeshi yake ili kulinda mipaka yake na watu wake.Zanzibar haina majeshi
Shinyanga ni mkoa mkubwa kuliko huo wa Zanzibar so wengi wape.Pili imba nyimbo zote upendavyo lakini amiri jeshi mkuu ni mmoja tu naye ni JPM fullstop!
Halafu we jamaa ni mchochezi wewe! Unanichochea niendelee kutiririka unafikiri Nina ml.7?Kabisa muungano uvunjike tu maana umekaa kinafiki sana.
Dah nimemiss jodari wa chukuchuku kwa wali nazimmmmh ...mi naendelea kuvua samaki jua kali ,nimepata jodari mmoja na ngisi watatu
Mkuu usiogope haya ni mambo aambayo wananchi tulipaswa kuyafahamu.Halafu we jamaa ni mchochezi wewe! Unanichochea niendelee kutiririka unafikiri Nina ml.7?
Wanalindwa na JWTZMojawapo ya sifa kuu ili nchi iitwe nchi ni kuwa na majeshi yake ili kulinda mipaka yake na watu wake.
Sasa unaposema Zanzibar haina majeshi nashindwa kukuelewa.
Mkuu riselikali la sasa halitaki kabisa uzungumzie hizo issue! Wanataka wananchi hatakama tuna njaa tuseme tumeshiba.Mkuu usiogope haya ni mambo aambayo wananchi tulipaswa kuyafahamu.
BTW kuongelea muungano ni uchochezi?
Zanzibar ni soko la mbogamboga na nyama kutoka TanganyikaHebu Mshauri basi Mzee akubali tu zanzibar wajiendee kwavile ni hasara kubwa kwenu uone jinsi Znz itakavyobadilika. Kwanza wazanzibari washajistukia ndio maana umesikiliza hotuba wanachanja mbuga (Uchumi umepaa wakati huku kwetu unachechemea). Au unadhani ile 6.3% imetokea wapi
Hata kidogo, tangu muungano 1964; rais wa jamhuri hajawahi kukosekana kwenye maadhimisho ya mapinduzi matukufu! It is another first of a kind; hali kadhalika maadhimisho ya muungano na uhuru wa tanganyika hayajawahi kuahirishwa hata mara moja!!! muda utaongea.
Wapemba mna vituko sana!Sasa hako kakipande mlikobaki nako mko salama kweli?!!!Tanganyika ni pande la udongo liliojimega kutoka Zanzibar by Baraghash JF
Yakhe Nitafutie pweza mjane kwa ajili ya ile shughuli yetu.mmmmh ...mi naendelea kuvua samaki jua kali ,nimepata jodari mmoja na ngisi watatu
Sister, huchoki kutoa kauli zisizo na matokeo? Bado unaota ndoto za MSSH kupewa nchi? Hujakata tamaa?Gogo limeishakatwa , linasubiri upepo tu lidondoke , sisi wenye akili tumekwisha fahamu kwamba muda mfupi ujao Maalim atapewa chake , ndio maana watu wameamua kujiandaa kisaikolojia , pole sana Shein .
Wewe ndiyo mjinga usiyejuwa kuwa serikali ikishachaguliwa ni ya wote na si CCM peke yaoNyie UKAWA badala ya kujipanga kwenda kumtoa Lema, Lijualikali na kumtafuta Ben Saa 8. mnakomaa kujadili kwa nini JPM hakwenda Zanzibar. yaani nyie UKAWA kwa kweli hamjitambui. Sasa hi inawahusu nini wakati hii ni serikali ya CCM.?
Ya kwenu yamewashinda, mnakaa kujadili ya jirani zenu. amaa kweli mjinga ni mjinga tuu.
Wewe ndiyo mjinga usiyejuwa kuwa serikali ikishachaguliwa ni ya wote na si CCM peke yao