Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,982
- 29,742
alivyokimbia kulipa ile bilion 12 baada ya utumbuaj akaamvbiwa tulia weweeeKakwepa KODI wapi? Una uthibitisho mkuu?
alivyokimbia kulipa ile bilion 12 baada ya utumbuaj akaamvbiwa tulia weweeeKakwepa KODI wapi? Una uthibitisho mkuu?
Mmejiandaa kumtetea huyo aliyewatuma mwambie kishanuka ukweli umeshajulikana hakuna namna ya kumkinga tena
Nahisi kuna mtu kaogopa kashfa ya kuvujisha siri za serikali. Maana repoti haikupaswa kupelekwa magazetini before Bunge. Watanyooka tu
mjomba mkianza kuhusisha udini kwenye wizi ni hatari sana , tujitahidi kuficha haya mambo jamani , adui namba moja wa nchi hii ni ccm , haya mengine hayana msingi .
kwani CAG anapiga hesabu peke yake?Mtukufu CAG anaweza kutumika kumsafisha mtukufu mwenzie katika Imani.
Tanzania ushabiki mwingi sana!! Watu wanaendesha media kwa chuki... Visasi na kukomoana!!Eti NSSF imenunua Hekta moja kwa Tshs.800 Million!!!
Kuna Vichwa Panzi hata ukiwaulize tofauti ya Management letter na Auditors Report ni zipi japo zote zinatolewa na CAG hawaijui, lakin wakajifanya Mafundi wakujadili Auditors Opinion.
Al Habib Mdondoaji.
Huku kheri tupu wazambaza sumu wote wanaupita kwa mbali huu uzi kama hawauoni hamna kitu kibaya kama unafiki.
kwa hiyo wewe msukule wa lumumba ripoti ya CAG unayo au umeiandaa wewe? hizo habari za kwenye magazeti mbona NSSF walishindwa kuzikanusha walipoendewa na wandishi? wewe ni nani hadi uje kuwakanushia choko we?Mla Kitimoto una wenge balaa, tulia dawa iingie vizuri. Utouh hakumuona Dau kama mchafu?
Hivi Dr. Rashidi yuko wapi siku hizi? Nilikua na mwanae USA kipindi Fulani but tumepitezana.Nasubiri wazee wa chuki na husda watakavyokuja na kimuhemuhe cha kudai uongo, uzushi na maneno kibao. Dr Dau we will continue to respect and value your contribution to this country. Few visionaries leaders tulionao nchini wewe, Mchechu na Dr Rashidi Taifa iko siku watajuta mmungu atuweke hai tutakuja kuyasema humu humu
Acha uongo!! Assad ni miongoni mwa watu wastaarabu na washika dini sana!! Sio mwizi wala mlafi ila tatizo lake ni udini tu!! Yeye na prof Njozi wamewahi nipa supp udsm kisa mi sio dini yao.Hakuna namna ya kuutenganisha ufisadi wa Nssf na Assad,Assad alikuwa board members wa Nssf na sikuwahi nununa jengo LA Nssf tanga,hawezi kuleta taarifa sahihi za Nssf,hutaki poa
Hivi Dr. Rashidi yuko wapi siku hizi? Nilikua na mwanae USA kipindi Fulani but tumepitezana.
Mkuu afadhali hiyo NSSF, huko PSPF ni vilio!! Jirani yangu kastaafu august mwaka Jana hajapewa mafao hadi Leo!! Sababu anaambiwa wanasubiri michango yake itimie huko then mfuko una hali mbaya!!tulia sindano ziingie wewe mpuuzi mkubwa! unataka michango ya wanachana iendelee kufujwa na mchwa mpaka lini? tena utulie kabisa hizi fedha hazikuhusu.