Kutoka Vijibweni: Rais Magufuli azindua daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge)

Wale watokwa na mipovu sijui leo wanajiskiaje, wameweka husda while haziwaasaidii kitu zaidi kuonekana Machepe. Hongera Mh.Rais kwa kumpa heshima yake na kutambua mchango wake Dr. Ramadhan Dau

Mkuu hivi hata kitilya alimwagiwa sifa tele ila alitoka home na ndoo,magufuli syo Sheria wala TAKUKURU,vyombo kinafanya kazi yake,ni wiki iliyopita tu alizimia sasa subiria
 
Vitu vingi sana vimepewa jina la Mwl Nyerere, kama issue ni kuliita jina la kiongozi, kuna majina ya viongozi wengi waliolifanyia taifa hili vitu vikubwa na majina yao yangetumika kwenye hilo daraja.
Nataman lingeitwa kikwete sababi ndo urith aliotuachia na ni mkubwa kama la mkapa lileee mkapa bridge

Magufuli amekil kazi ile ilimshinda mkolon mbongo ameiweza


Apewe jakaya jaman
 
Wazee wa husda mpo na shughuli imeisha mliyemtaka kaja na kazungumza semeni jengine. Bado fitna zenu mlizopeleka za kuchukua CAG report isiyokamilika mkadai imekamilika uchunguzi unaendelea mbivu zitajulikana tu.
 
Nadhani Kabwe ilibidi atumbuliwe kipindi yupo Mwanza ila sijafurahi hii tabia ya kutumbua kwa kusikiliza watu majukwaani. Mfanyakazi ana adhi yake sio kuaibishwa hadharani!
 
Bwana mkubwa anashangiliwa ila JK na Dau hawaonekani
13051531_1129481750426638_1956601341495157194_n.jpg
 
Back
Top Bottom