Habari Wakuu,
Kwa watoto wa chini ya miaka 5 mathalani mtoto wa miaka 3 ninachojua kwa kawaida inatakiwa alale mchana.
Ninachotaka kujua kutoka kwenu ni kuwa hata kama mtoto amelala mchana je, kwa masaa yetu ya Tanzania ni muda gani mzuri anatakiwa alale usiku, mfano kama ni saa 1, saa 2, saa...
Habari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa...
Habari wakuu,
Kwa kifupi naishi mkoa tofauti na mke wangu kwa sababu za kikazi, sasa katika pitapita zangu kapatikana mtoto. Wife bado hajajua chochote kwa sababu hakai sana hapa ila najua kwa baadaye itakuja kufahamika kwa sababu kuna watu wanajua.
Sasa nataka kupata ushauri au uzoefu wa...
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nataka kujua kama kuna chuo kinatoa kozi yeyote inayohusiana na masuala ya Wakimbizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu mimi niko Morogoro,ninakusanya mayai ya kienyeji na kuyauza.
Nahitaji soko kubwa la Dar,Moro na Dodoma.
Huko kote nitamfikishia mnunuzi kwa Tsh 15,000 kwa tray moja.Gharama za usafiri juu yangu.
Kama unahitaji au una connection usisite.
Kuna gari tajwa hapo juu inauzwa na mm nahitaji gari naomba uzoefu juu ya aina hyo ya gari.Year of manufacture 2000.
Naomba kujua ubora/uimara wake,fuel consumption etc
Wakuu Mwenye uzoefu wa kilimo cha mahindi Dakawa kuanzia upatikanaji mashamba ya kukodi,kulima,mavuno na makadirio ya gharama kwa heka kuandaa shamba mpaka kuvuna.
Natanguliza shukrani.
Habari wanajukwaa,
Naomba kwa anaefahamu faida za leseni tajwa kwa mtu mwenye fani ya umeme maana watu wengi wamesoma ila mwamko wa kuchukua leseni sio mkubwa.
Kwenye ukurasa wa Facebook wa chuo wameweka picha za matukio mbalimbali ya kumuaga mkuu huyo huku picha hzo zikiwa hazijawekewa maelezo (caption) lakini kuna page za baadhi ya staff wamepost huku wakiweka maelezo ya kumuaga mkuu huyo kwa kifupi.
Je mkuu huyu amestaafu au ni uhamisho?
Dr Masika...
Wakuu naomba kwa wanaofahamu vizuri uzuri wa hii course mtaani kwa soko la ajira au kujiajiri.
Na je kati ya hiyo Pharmaceutical na Medical Laboratory ipi ina solo zuri kuajiriwa au kujiajiri.
Asante
Wakuu naomba kwa wanaofahamu materials(eg Gold, Tanzanite) ambayo pete za uchumba zinakiwa kuwa nayo ambayo yanapatikana kwa sonara.
Hapa namanisha common material ambazo hutumika kutengeneza pete ya uchumba ambapo ukienda kwa sonara ni kusema nahitaji pete ya aina flani.
Najua pete za dhahabu...
Wakuu naomba mwenye kujua Lodge ambayo naweza kufikia pale Kyela ambayo haiko mbali na stand. Isizidi 20k. Kama nitapata mawasiliano kwa ajili ya booking sio mbaya.
Asanteni
Post sent using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.