Msaada: Muda gani ni mzuri kwa watoto kulala?

NDESSA

JF-Expert Member
May 2, 2013
1,946
1,795
Habari Wakuu,

Kwa watoto wa chini ya miaka 5 mathalani mtoto wa miaka 3 ninachojua kwa kawaida inatakiwa alale mchana.

Ninachotaka kujua kutoka kwenu ni kuwa hata kama mtoto amelala mchana je, kwa masaa yetu ya Tanzania ni muda gani mzuri anatakiwa alale usiku, mfano kama ni saa 1, saa 2, saa 3, etc?
 
Back
Top Bottom