Nikiwa napita pita Befoward kuusitua umasikini nimekutana na hili gari likanivutia kwa mwonekano wake
Wajuvi wa magari nipeni somo kidgo kuhusu hili gari, linafaa kibongo bongo ukizingatia na hizi kodi za kizalendo?!
Fuel consumption, uimara na upatikanaji wa spare zake au ndio kama european...
Nipo kwenye kusaka maisha huku kijijini nimezamia Chimbo moja wilaya Nyang'hwale mkoani Geita
Kwa hii halmashauri biashara hii ni gumu kwani imerundikiwa mzigo wakodi kila sehemu tokea mlimani njiani, mwaloni hadi Sokoni!
Huu ni mlolongo wa kodi unaotozwa na halmashauri pekee
Baada ya kutoa...
Hello
Kama heading inavyojieleza natafuta mshirika mtu ambaye ana biashara tayar iliyo halali au mwenye wazo na mtaji pia niingize kimtaji changu kidogo tufanye biashara pamoja
KWANINI MSHIRIKA
1-Sina uzoefu sana wa biashara
2-Kila biashara ninayopanga nikitazama changamoto naishia kusitisha...
Ukipita kwenye pages za mitandao ya kijamii hasa kwa Makamanda CDM report ya TWAWEZA imeteka headlines,
"JPM anukubalika vijijini na kwa masikini wenye maisha duni!"
Lakini ukweli mchungu hata mjini na kwa wasomi hakuna sehemu tuliyoongoza hata moja
CCM imeshuka kweli lakini pande zote...
Nahitaji msaada kwa anaeweza kunisadia au kunipa maelekezo jinsi ya kuanlock hii simu
Nimeitumia kama 10 months lakini kuanzia jumapili nimeamka inaomba Network unlock code
BIASHARA YA SAMAKI MOSHI/ARUSHA
Hivi karibuni nataka nianzishe biashara ya kusafirisha samaki waliokangwa pamoja na waliobanikwa kwa pamoja kutoka ziwa viktoria(Mwanza) kwa mtaji kidogo uliopo
Kiasi gani ninaweza kusafirisha inategemea na mahitaji ya wateja watakaopatikana
Kama unafanya...
Nahitaji simu iwe katika hali kwa 250000
htc, samsung, sony, lg, moto, itakuwa vizuri
NOTE: Kuwe na uwezo wa kuipata kwa arusha
KARIBUNI
CONTACT: 0756908809
Naomba msaada kwa yafuatayo kwenye Lumia 625 wp8
1: Je inawezekana pokes app from another 4ne, if yes nipe procedures.
2: uki-install app eg opera mini unaambiwa not available in a store.
3: site gani Ina free app nyingi for wp8
4: Je naweza upgrade to WP 8.1? how
MWENYE MAUJUZI ANAKARIBISHWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.