Ngosha255
JF-Expert Member
- Mar 29, 2013
- 431
- 512
Hello
Kama heading inavyojieleza natafuta mshirika mtu ambaye ana biashara tayar iliyo halali au mwenye wazo na mtaji pia niingize kimtaji changu kidogo tufanye biashara pamoja
KWANINI MSHIRIKA
1-Sina uzoefu sana wa biashara
2-Kila biashara ninayopanga nikitazama changamoto naishia kusitisha wazo
KIANZIO
Kianzio kilichopo ni kama milioni 1 japo inaweza ongezeka kutokana na biashara yenyewe
LOCATION
Mahali popote japo ni vema zaidi ikiwa kanda ya ziwa
Kuhusu elimu na mambo mengine
Mawaliano
0756908809
Kama heading inavyojieleza natafuta mshirika mtu ambaye ana biashara tayar iliyo halali au mwenye wazo na mtaji pia niingize kimtaji changu kidogo tufanye biashara pamoja
KWANINI MSHIRIKA
1-Sina uzoefu sana wa biashara
2-Kila biashara ninayopanga nikitazama changamoto naishia kusitisha wazo
KIANZIO
Kianzio kilichopo ni kama milioni 1 japo inaweza ongezeka kutokana na biashara yenyewe
LOCATION
Mahali popote japo ni vema zaidi ikiwa kanda ya ziwa
Kuhusu elimu na mambo mengine
Mawaliano
0756908809