Habarin wadau, hivi hi mechi kati ya River United na Yanga itaoneshwa chanel gani?
=======
Mechi kamishna Sulley Camara kutoka Sierra Leone amewaruhusu Yanga wacheze wote kwa kuwa hakuna cheti kuhalalisha kuwa wamekutwa na corona.
Mpira umeanza kati ya Rivers United na Yanga
28' Rivers...
Habarini za jioni,
Poleni na majukumu na mihangaiko ya maisha ,naomba nirudi kwenye swali langu, naomba kuuliza kuna madhara yeyote kiafya kucheua chakula punde baada ya kula wastani baada ya nusu saa kwa binadamu.
Habar za mda huu wanajamv, naomba msaada....., huwa napata maumivu makal baada ya kumaliza tendo la ndoa , mwenye kufahamu hali hii inasababishwa na nn anisaidie
Habarin wana jamvi , naitwa mwalimu Umari .s .Mangumbe ninafanya kazi Mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi (V) .Namtafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi yeye aje huku nami niende moja Kati ya wilaya zifuatazo. Masasi, Tandahimba , Newala , Nanyumbu (MTWARA ), Nachingwea., Liwale (LINDI)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.