Leo siku yangu imeharibika kabisa, kuna huyu mdada niko naye mwaka wa pili sasa kwenye mahusiano kumbe ni mke wa mtu bhana. na siku zote ananiambia hana mume mtoto wake aliye naye baba yake alifariki zamani.
Duuh kumbe mke wa mtu jamaa yake kanipigia simu na mikwala kibao tena ni mtu wa Tanga...
Makao makuu ya nchi ni kama sebule yetu kwa wageni wanao kuja, hebu chagua sebule yako katika hizi picha kati ya Dom na DSM.
DSM
Dom
Wadau wenye picha zingine naomba muongeze.
Kwa Jina la Nguvu Kuu ya Uumbaji na inayoweza yote, nakemea pepo hili la kuanza kuzini na mke wa Mtu, Tooooooka pepo naushindwe kabisa. Jana ilikua mara ya pili na sasa unataka ninogewe nichonge mzinga niwe namla kila jumamosi au kila mume wake anaposafili nakataa kabisa sitaendelea na hii tabia...
Wadau hii mechi mbona mmeichunia sana tunaomba updates zenu pls hasa mliopo uwanjani, nasikia mpaka sasa dakika ya sita simba 1 URA 0.
Naomi updates tafadhali mi sipo uwanjani na nana kimya
Window 7
Processor: Intel(R) core (TM) i5 2.27 Ghz
RAM:6 GB
HDD: 500 GB
Type: Dell N Series
With ESET NOD antivirus 1 YEAR LICENCE
In a very good condition
Bei Tshs: 400,000/=
Mwana JF unatafsiri hii kama nini Ujasili, Ushujaa, Imani(Faith) au Njaa sana
Watu watatu wanaamua kwenda kuwapora Simba kitoweo chao wakiwa hawana silaha yoyote ya maana just spears and a panga. swali wangapi hapa JF wangekubali kujiunga na hawa watu
check link hapa chini hope itaonyesha
Kichwa cha habari chahusika mini laptop ikiwa na specification zifuatazo kwa Tsh 300,000
Processor- Intel (R) Atom (TM) CPU 1.67 GHz, 1GB RAM, 220 GB HD, Window 7 starter, ESET node ant virus a very good battery life up to 6 hrs
Heshima kwenu waungwana, nataka kufaham kuhusu matumizi ya CNG kwenye magari kama kuna mtu amekwisha install kwenye gari yake au kama kuna mtaalam hapa. Kwanza ni gharama za kufunga hii system kwenye gari. Na pia ni gharama kwa kila kilo na je unatumia KM ngapi kwa kilo KM/KG. Natanguliza shukrani.
Nauza Bajaj wakuu ni 2L haijatembea mwezi mmoja, pia inahitaji matengenezo madogo ya brake injini iko powa, insurance imeisha mwezi wa tano. bei 800,000 PM me pls
Wakuu natumia sikmu ya HTC Inspire 4G na line ya tigo, nimeweza kuwa connected, napata facebook e mail etc. tatizo siwezi kubrowse internet inakataa nimejalibu google search wapi, wataalam nisaidieni tafadhali
Mkuu crashwise najua leo issue ya baraza la Mheshimiwa iko hot tafadhali usisahau kwenye michezo nakutegemea kwa updates mkuu leo Mnyama anaweza akatangaza ubingwa.
Nauza gari with the following specs;
Make: 2001
Model: Toyota, Verossa, Sedan
CC; 2000, Six (6) Cylinder
Automatic transmission
KM: 106016
Colour; pearl white
Fuel; petrol
CD/Tape/ FM/AM Radio
Comprehensive insurance
reg; ni T...BLM
NB: ina msamaha wa kodi
Bei; 11.5 M
NIMECHACHA JAMANI...
Three pastors took a day off and decided to go fishing after
a busy Sunday. They agreed its so difficult preaching to people
all the time and no one preaches to them. Sitting by the river with
little response from the hooks one pastor thought of sharing his
heart with others..
He...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.