Simba sc vs kagera sugar

Simba sc vs kagera sugar

Gamaha

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2008
Posts
3,945
Reaction score
5,084
Jamani waungwana ina maana kagera hamna wana JF mbona hamtupi matokea au leo sio jumatano.
 
Aisee ni kweli leo watoto wanaua mtu bukoba
 
Inaonekana wana JF wa Bkb wako likizo. mpaka sasa hv updates zero!
 
Aisee ni kweli leo watoto wanaua mtu bukoba
Tunaombea iwe hivyo mkuu, ila ndio hamna taarifa kabisa nimejalibu kucheki kwenye radio hamna wanaotangaza
 
Sasa tunaomba yule anayesikiliza atujuze matokeo wengine tupo mbali nje ya tz
 
Chamazi vipi,

mkuu ndetichia uko nje ya nchi nini tujuze yanayojili huko.
 
Jamani waungwana ina maana kagera hamna wana JF mbona hamtupi matokea au leo sio jumatano.

Dakika ya 15 hawajafungana.

List ya simba 1. kaseja 2. cholo 3. miraji adam 4. hassan khatib 5. kapombe 6.mkude 7.edward christopher 8. seseme

9. messi 10. chanongo 11. ngasa
 
Back
Top Bottom