Leo ni miaka miwili tangu umetutoka mpendwa wetu Regia....Uliondoka mapema wakati bado Tanzania inakuhitaji....
Pamoja na kwamba kimwili haupo nasi lakini tupo nawe kiroho na bado tupo nawe kupitia maandiko na kauli/misimamo yako....
Binafsi nakuombea na kukumbuka kila wakati mpendwa wetu...
Walianza na bus la wachezaji wa Yanga.....
Na leo wamelishambulia bus la wachezaji wa Prisons na gari la kiongozi wa Prisons......
Kuna taarifa kwamba mchezaji mmoja wa Prisons amejeruhiwa vibaya......
Source: Mbeya Yetu: BREAKING NEWSA LIVE MUDA HUU; WAPENZI NA MASHABIKI WA...
Dar es Salaam. Simba SC are in trouble once again after handing in incomplete Mrisho Ngassas registration documents, it has been revealed.
A credible source within the Tanzania Football Federation (TFF) confided to The Citizen yesterday that Ngassa will definitely don the green and yellow...
Huu no uongo na utapeli ulio kubuhu......Ni lini Rage ataacha utapeli huu?.....Inasikitisha sana
EXCLUSIVE: UKWELI KUHUSU SHOMARI KAPOMBE KUTAKIWA NA FC TWENTE HUU HAPA!
Kwa wiki kadhaa zilizopita kumekuwepo na taarifa nyingi zinazomuhusu beki wa kimataifa wa Tanzania na timu ya Simba...
Naona huyu binti amekuwa gumzo mpaka The Sun wamemkubali.....
http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/4980702/Tanzanian-ladys-football-skills-are-an-online-hit.html
Salama wakuu...... Leo ndio siku ya watani wa jadi......Game inakaribia kuanza....
Kila la heri mashabiki wa Man Utd na Liverpool.....
Karibuni sana kwa live updates.......
Salama wakuu...... Leo ndio siku ya Manchester derby......Game inakaribia kuanza....
Kila la heri mashabiki wa Man City na Man Utd.....
Karibuni sana kwa live updates.......
UPDATES:
10min: Man City 0-0 Man Utd
16min: Man City 0-1 Man Utd, a goal by Rooney!
25min: Man City 0-1 Man Utd...
Katika pambano la juzi la Simba na Yanga Jumla ya mashabiki 50,455 walishuhudia pambano hilo na kuingiza sh 390,568,000, huku Yanga na Simba kila moja ikiambulia sh 93.3 milioni.
Watazamaji 50,455 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo iliyochezwa usiku kwa viingilio vya sh 5,000, sh 7,000, sh...
FIXTURES
Sat. 14th July 1 APR vs WAU SALAAM Uwanja wa Taifa 2pm
2 YANGA vs ATLETICO Uwanja wa Taifa 4pm
Sun. 15th July 3 AZAM vs MAFUNZO Chamazi 4pm
4 SIMBA vs URA Uwanja wa Taifa 4pm
Mon. 16th July 5VITA CLUB vs PORTS Uwanja wa Taifa 2pm
Tue. 17th July 6 ATLETICO...
Kwa muda mrefu sasa nimeshangazwa na propaganda chafu zinazoenezwa na Shaffih Dauda kupitia blog yake pamoja na kipindi cha Sports Extra cha Clouds FM dhidi ya timu ya Yanga.....Shaffih na wenzake akina Ibrahim Masoud ''Maestro'(ambaye ni kiongozi wa watani zetu Simba) kwa muda mrefu sasa...
YAH: TAARIFA ILIYOTOLEWA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA
UCHAGUZI WA TFF JUU YA TUHUMA MBALI MBALI DHIDI YANGU YA
6/3/2012
Nimepokea taarifa za shutuma mbali mbali dhidi yangu
zilizotolewa na Bw Lyatu kupitia kwenye magaazeti mbali kupitia
kwenye mitandao pamoja na taarifa kwa...
Kikosi kamili kinaundwa na makipa Shabani Kado (Yanga), Juma Kaseja (Simba) na Mwadini Ali (Azam).
Mabeki ni nahodha Shadrack Nsajigwa (Yanga), Masoud Cholo (Simba), Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Juma Jabu (Simba), Stephen Mwasyika (Yanga) na Kelvin Yondani (Simba).
Viungo ni...
HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya CCM imesema kuanzia sasa ukomo wa viti maalumu vya ubunge, uwakilishi na udiwani ni vipindi viwili, baada ya hapo watatakiwa kwenda majimboni kugombea.
Uamuzi huo ulitangazwa jana mjini hapa na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama katika Mkutano wa Baraza Kuu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.