Wana JF, nakusudia kununua TOYOTA COROLLA SPACIO Old Model 4A au 7A Engine, Naomba nijuzwe ubora wa hizo gari, matumizi ya mafuta na km kuna tatizo sugu linalosumbua hizo gari.
Nawasilisha.
Wana JF niko mbali na Dar, bahati mbya simu yangu imesumbua mkanda(samsung SGH A797) na omba nipate simu ya fundi hapo town dar niweze kumuuliza kma atanipatia spea.Natanguliza shukrani zangu kwa wanaJF wote.
Wadau nimevumilia nimechoka, kuna miezi inayofikia minne hali ya ulipwaji wa mishahara hapa SUA si nzuri, mishahara hulipwa tarehe 30, 31, 1, 2 nk, na kila kabla mishahara kulipwa lazima itolewe barua inayoeleza mchakato mchakato, mi ni mtu mdogo sana hapa na sina pa kusemea, ila kuwa kutumia...
Sababu kuu ambazo hakuna mteja anaweza kuja kuinunua Tanzania angalau hata tugawane hela zitakazo patika kila mtu aishi maisha anayotaka hapa hapa au nchi za nje ni NCHI KUUZWA VIPANDE VIPANDE.
1. Madini yameisha kumebaki mahandaki.
2. Pwani yote imetolewa kwa wawekezaji kwa mikataba ya zaidi...
Wandugu wana JF na wapenzi wa Tusker Lager, kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu hii bia tamu ya tusker ambayo zamani TBL walikuwa wanazalisha under licence na sasa naona SBL.Je kipi kilitokea mpaka hawa SBL wawe ndio wanaimiliki au kuzalisha?. Kwa upande wangu sina imani sana na uwezo wa SBL...
WANA JF, JE KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA CHA TSH 135,000/= MNAKIONAJE? TAARIFA ZISIZO RASMI ZINASEMA SERIKALI IMEGOTEA HAPO HAITAKI KUPANDA HATA KUFIKIA 150,000/= NA KODI WAMESHUSHA KWA ASILIMIA 1 TU. KAZI KWELI KWELI:mad2:
WanaJF napenda kuwataarifu kuwa ile tarehe ya mwanzo ya harusi yangu imesogezwa hadi tar 17/07 kutokana na kuingiliana na kikao kikubwa cha wachungaji pale Tanga.Maandalizi mengine yanaendela kama kawaida.Karibuni sana.
KUNA MSEMO UNAOSEMA "UOGA WAKO NDIO UMASIKINI WAKO" MSEMO HUU UMEDHIHIRISHWA WAZI NA WALIMU WA VYUO VIKUU TANZANIA.MGOMO WALIOTANGAZA KUWA UTAFANYIKA KATI YA TAR 27 NA 28 APRIL UNAONEKANA KUTOFANYIKA KWANI KUMEKUWA NA VIKAO VYA HAPA NA PALE VYA KUTAFUTA MUAFAKA AMBAVYO KIMSINGI VILISHAFANYIKA...
Inaniuma sana kuona sisi wanaume tu ndio tunaotoa fedha au kuhonga chochote wanawake hasa baada ya kusex na hata kama ni gf wako mnae pendana sana au hata kama ni mlupo tu asubuhi lazima akitoa upepo kama bia kanywa, nyama kala na raha za sex tumekapata wote, sasa kwa nini mimi (mme) nikupe tena...
:drum:WanaJF hebu tuliangalie hili, kuna baadhi ya wanaume wakiona mwanamke mwenye makalio makubwa mate yanamtoka hata kama ni mke wa mtu anatamani aduu nae, wakati huo huo wapo wanopenda wenye makalio ya wastani na wengine huwapenda wale wenye bapa kabisa.Najiuliza kila siku ni kipi hasa...
Wapendwa wana jf, napenda kuwataarifu mapema kuwa mnamo tarehe 10/07/2010 natajia kufunga ndoa huko tanga katika kanisa la kilutheri la kana, na kisha tafrija itafanyika pale railway club kuanzia saa 2 usiku.ukiwa kama ndugu, jamaa na mwanajf nawakaribisha wote kwani nimekuwa nanyi tangu 2008 na...
Wana JF nisaidieni.Hivi unamchumba kisha akakuambia eti anashiriki kwenye tangazo la mfano sigara ukamshauri akakataa na wewe uko ofisi vyeti sana yenye heshima kweli kweli na yeye pia si haba ni msomi wa chuo kama Mzumbe.Hivi kweli ukimuambia achape lapa kuna makosa kweli.Naomba mawazo yenu jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.