Mabucha tofauti nyama ile ile

Zemu

JF-Expert Member
Jun 5, 2008
518
80
:drum:WanaJF hebu tuliangalie hili, kuna baadhi ya wanaume wakiona mwanamke mwenye makalio makubwa mate yanamtoka hata kama ni mke wa mtu anatamani aduu nae, wakati huo huo wapo wanopenda wenye makalio ya wastani na wengine huwapenda wale wenye bapa kabisa.Najiuliza kila siku ni kipi hasa kinachowazuazua watu? Kuna msemo wa waswahili wanasema "Mabucha tofauti nyama ile ile".Je kuna ukweli hapo.:target:
 
:drum:WanaJF hebu tuliangalie hili, kuna baadhi ya wanaume wakiona mwanamke mwenye makalio makubwa mate yanamtoka hata kama ni mke wa mtu anatamani aduu nae, wakati huo huo wapo wanopenda wenye makalio ya wastani na wengine huwapenda wale wenye bapa kabisa.Najiuliza kila siku ni kipi hasa kinachowazuazua watu? Kuna msemo wa waswahili wanasema "Mabucha tofauti nyama ile ile".Je kuna ukweli hapo.:target:


hapana

 
:drum:WanaJF hebu tuliangalie hili, kuna baadhi ya wanaume wakiona mwanamke mwenye makalio makubwa mate yanamtoka hata kama ni mke wa mtu anatamani aduu nae, wakati huo huo wapo wanopenda wenye makalio ya wastani na wengine huwapenda wale wenye bapa kabisa.Najiuliza kila siku ni kipi hasa kinachowazuazua watu? Kuna msemo wa waswahili wanasema "Mabucha tofauti nyama ile ile".Je kuna ukweli hapo.:target:

No no no! Kila ng'ombe anao mlio wake wakati unamchinja.
 
Asikudanganye mtu, nyama si ile ile hata kidogo. Mwanamke mwingine unajikuta unataka tu kuendelea hamu haishi na utamu wa hali ya juu na mwingine ukimaliza mara moja tu hata kumgusa tena hutaki wala akikupa siku nyingine hutataka tena. Huu ni msemo tu ambao hauna ukweli wowote.
 
Asikudanganye mtu, nyama si ile ile hata kidogo. Mwanamke mwingine unajikuta unataka tu kuendelea hamu haishi na utamu wa hali ya juu na mwingine ukimaliza mara moja tu hata kumgusa tena hutaki wala akikupa siku nyingine hutataka tena. Huu ni msemo tu ambao hauna ukweli wowote.

Kazi ipo, haya walaji mwageni data.
 
Katika yale mambo, ubongo ndio sehemu muhimu kushinda vyote.
In order for the brain to decide, its has to be stimulated! Kwa hiyo kabla ya kuipenda nyama lazima bucha likuvutie.
Pia nyama hazifanani, kuna iliyonona na iliyokonda.
 
Nyama ni moja but mapishi tofauti na ladha ni tofauti mkubwa. ndo mana kuna lost, soseji, ya kukaanga na mzaga mengi test quite different. hivi ni kweli we hujaona
 
[/COLOR][/SIZE]

hapana


No no no! Kila ng'ombe anao mlio wake wakati unamchinja.

Kila nyama na utamu wake hata uandaaji unafanya ladha ikatofautiana...... vionjo mkuu

Asikudanganye mtu, nyama si ile ile hata kidogo. Mwanamke mwingine unajikuta unataka tu kuendelea hamu haishi na utamu wa hali ya juu na mwingine ukimaliza mara moja tu hata kumgusa tena hutaki wala akikupa siku nyingine hutataka tena. Huu ni msemo tu ambao hauna ukweli wowote.

Mnyama ni yule yule ila nyama ni tofauti nyama ya mbavu si ya mguu, mapishi ya pwani si ya Bara.

Nyama ni moja but mapishi tofauti na ladha ni tofauti mkubwa. ndo mana kuna lost, soseji, ya kukaanga na mzaga mengi test quite different. hivi ni kweli we hujaona

mmhhhh!!! ina maana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom