Zemu
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 518
- 80
:drum:WanaJF hebu tuliangalie hili, kuna baadhi ya wanaume wakiona mwanamke mwenye makalio makubwa mate yanamtoka hata kama ni mke wa mtu anatamani aduu nae, wakati huo huo wapo wanopenda wenye makalio ya wastani na wengine huwapenda wale wenye bapa kabisa.Najiuliza kila siku ni kipi hasa kinachowazuazua watu? Kuna msemo wa waswahili wanasema "Mabucha tofauti nyama ile ile".Je kuna ukweli hapo.:target: