DOKEZO Threads

Tunamuomba kamishna wa mamlaka ya mapato akae na hawa vijana na kuwakumbusha maadili ya kazi. Kabla hatujachukua hatua kali zaidi za kuwavua ngua na adhabu nyingine, meneja na watumishi wake...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Ingawa viongozi wa Mkoa na Wilaya hawataki kutoa taarifa kwa jamii juu ya uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa kipindu pindu. Ni kuwa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu imekubwa na visa wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Juzi watumishi Kada ya ualimu na Afya katika Wilaya za Rombo na Sikonge walilalamika kutolipwa stahiki zao ambazo ni fedha za kujikimu. Hivyo hivyo kadhia hiyo imetukumba sisi watumishi katika...
1 Reactions
2 Replies
781 Views
BigTall
DOKEZO Responded 
Sisi watu wa ajira mpya kada mbalimbali tofauti na Elimu na Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera hatujalipwa fedha za kujikimu. Mfano Kada ya Maliasili na Mazingira...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kiwango Cha uvuvi haramu katika ziwa Victoria kimefikia hatua ya kuvua vifaranga vya Sangara. Hivi ni vifaranga vya Sangara vikiuzwa soko la Bugashani Bukoba. Je, wataalamu pamoja na kitengo cha...
1 Reactions
6 Replies
487 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mradi wa hostel za wasichana katika shule ya sekondari Langiro umetelekezwa, mradi huu ulivyoanzishwa ni zaidi ya miaka 4 sasa haujakamilika hivyo kusababisha athari kubwa sana kwa watoto wa kike...
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Anonymous
DOKEZO 
Vitambulisho vya ulowezi wanavyopewa baadhi ya wakazi wa Biharamulo mkoan Kagera (na Familia zao) kwa kuwa na asili ya Rwanda ,je Ni sahihi naomba pia vigezo vya mtu kuitwa mlowezi. Hii...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Anonymous
DOKEZO 
Ametoa daivesion bila kueka kibao kua kuna daivesion wageni wakija wanapitiliza na kudondokea kwenye vifusi pia divesion imechimbika mashimo na mkandarasi ashahamisha mitambo yake
0 Reactions
0 Replies
359 Views
SIsi watumishi walimu tuliwasilisha fomu zetu za likizo tangia mwezi wa 11 mwanzoni, ila mpaka tarehe ya leo hatujalipwa wakati likizo imeshafikia nusu. Tunaomba mkurugenzi atueleze likizo...
3 Reactions
3 Replies
519 Views
Anonymous
DOKEZO 
Tunapitia wakati mgumu sana tunaofika Kitengo cha TRA Ofisi Kuu Mwanza ili kupata Control Number za kulipia Capital Gain Tax. Kufanya Uhamisho wa viwanja Sheria imebadilishwa, ni Asilimia 3 sasa...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Leo alfajiri saa 10 usiku nilikuwa Stendi ya Magufuli kupanda basi nasafiri kuelekea Mkoa fulani. Nilisikia harufu mbaya kama chemba inayovuja eneo wanaposimama Abiria wanaosubiri basi la...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wanabodi Naomba niingie kwenye mada, kama ni mtumiaji wa barabara ya Mandela na mfuatiliaji wa mambo nyakati za jioni utagundua kuna jambo la kutengeneza. Iko hivi, wakati unatoka Ubungo...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Stuxnet
DOKEZO Responded 
Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekana kama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa.
8 Reactions
312 Replies
25K Views
Salam Husikeni na kichwa cha habari hapo juu , Wakazi na watumiaji wa barabara kuu itokayo kimara kuelekea bonyokwa na vitongoji vya karibu kama Baa mpya,Mavurunza,Kwa Mringo na Golani wamekuwa...
1 Reactions
4 Replies
929 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mkurugenzi mtendaji wa Mbinga mji hali ya vyoo vya shule ya sekondari Ngwilizi ni mbaya sana. Imefika wakati wanafunzi walio wengi wanaenda kujisaidia vichakani. Hebu wasaidieni Hawa wanafunzi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kumekuwa na changamoto ya kukatika Kwa umeme ovyo au umeme kuwa mdogo sana kipindi cha msimu wa senene. Hali hii inatokea sana wakati wa usiku ambapo muda huo ndo wakazi wengi wa Muleba...
1 Reactions
0 Replies
544 Views
Unaweza kuongea leo ukapuuziwa ila ni mbinu zinazotumiwa na taasisi za dini na ili kupitia makanisa wengi wamepatia mwanywa kutakatishia pesa zao. Kwenye kutakatisha fedha kuna njia nyingi, ndio...
1 Reactions
3 Replies
515 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kuna baadhi ya maafisa wa TRA (TMU) wanatumika na bwana mmoja anaitwa Beno wa kampuni ya Will Logistics, anachokifanya bwana huyo anakodi magari halafu halipi pesa kama inavyotakiwa. Ukifika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati serikali ikiingia mfukoni kugharamia elimu bure kwa shule zake za msingi na sekondari hapa nchini kwa kutoa mabilioni ya ruzuku, mambo ni tofauti kabisa kwa jiji la Arusha, ambapo afisa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Hivi ndivyo ilivyo katika Camp ya Itigi, sisi Wafanyakazi wa Mradi wa Reli ya SGR, tumeandamana hadi kwa HR wa Mkandarasi Mkuu wa Mradi, Yapi Merkezi tukitaka kujua majaaliwa ya stahiki zetu baada...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom