Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,133
- 2,986
Tunamuomba kamishna wa mamlaka ya mapato akae na hawa vijana na kuwakumbusha maadili ya kazi.
Kabla hatujachukua hatua kali zaidi za kuwavua ngua na adhabu nyingine, meneja na watumishi wake wajitafakari.
Mbinu wanayotumia kufunga akaunti zetu katika mabenki wasidhani italeta tija katika mkoa.
Kwa sasa imekuwa kero kila mfanyabiashara anazuia akaunti yake kwa ajensi notisi.
Tunatoa onyo kwa mabenki pia hata kama yatekeleza sheria, wakae na TRA ama sivyo waache kabisa kutuomba kuweka fedha katika akaunti.
Sisi tutahamisha ofisi zetu na kwenda kutambuliwa katika mikoa inayojali na kuzingatia namna bora ya ukusanyaji wa mapato.
Rais alishakataza kuzuia akaunti, yeye huyu anapata mamlaka kutoka wapi.
Mzee Kidata, itazame timu yako hasa hapa Iringa.
Kabla hatujachukua hatua kali zaidi za kuwavua ngua na adhabu nyingine, meneja na watumishi wake wajitafakari.
Mbinu wanayotumia kufunga akaunti zetu katika mabenki wasidhani italeta tija katika mkoa.
Kwa sasa imekuwa kero kila mfanyabiashara anazuia akaunti yake kwa ajensi notisi.
Tunatoa onyo kwa mabenki pia hata kama yatekeleza sheria, wakae na TRA ama sivyo waache kabisa kutuomba kuweka fedha katika akaunti.
Sisi tutahamisha ofisi zetu na kwenda kutambuliwa katika mikoa inayojali na kuzingatia namna bora ya ukusanyaji wa mapato.
Rais alishakataza kuzuia akaunti, yeye huyu anapata mamlaka kutoka wapi.
Mzee Kidata, itazame timu yako hasa hapa Iringa.