A
Anonymous
Guest
Mradi wa hostel za wasichana katika shule ya sekondari Langiro umetelekezwa, mradi huu ulivyoanzishwa ni zaidi ya miaka 4 sasa haujakamilika hivyo kusababisha athari kubwa sana kwa watoto wa kike hususan wale wanaotoka vijiji vya mbali na shule......
Mh DED MBINGA na DC kamilisha hostel hizi ili watoto hawa wa kike waweze kuishi karibu na shule ili tuweze kupunguza utoro,mimba n.k
Mh DED MBINGA na DC kamilisha hostel hizi ili watoto hawa wa kike waweze kuishi karibu na shule ili tuweze kupunguza utoro,mimba n.k