A
Anonymous
Guest
Mkurugenzi mtendaji wa Mbinga mji hali ya vyoo vya shule ya sekondari Ngwilizi ni mbaya sana.
Imefika wakati wanafunzi walio wengi wanaenda kujisaidia vichakani.
Hebu wasaidieni Hawa wanafunzi waweze kusoma kwa raha na waweze kutimiza ndoto zao.
Imefika wakati wanafunzi walio wengi wanaenda kujisaidia vichakani.
Hebu wasaidieni Hawa wanafunzi waweze kusoma kwa raha na waweze kutimiza ndoto zao.