A
Anonymous
Guest
Kiwango Cha uvuvi haramu katika ziwa Victoria kimefikia hatua ya kuvua vifaranga vya Sangara. Hivi ni vifaranga vya Sangara vikiuzwa soko la Bugashani Bukoba.
Je, wataalamu pamoja na kitengo cha kudhibiti uvuvi haramu wanalipwa mishahara kwa kazi gani?
Serikali na mamlaka zake imeridhika na madudu yanayoendelea ziwa Victoria?
Je, wataalamu pamoja na kitengo cha kudhibiti uvuvi haramu wanalipwa mishahara kwa kazi gani?
Serikali na mamlaka zake imeridhika na madudu yanayoendelea ziwa Victoria?