Recent content by zinc

  1. zinc

    Hotuba ya Freeman Mbowe kwa Taifa maandalizi yakamilika , Kurushwa Live kuanzia saa 9 mchana

    Tulia, utajionea kama ni ya wana CHADEMA au taifa! Rais wa nchi hii wote wanatekeleza sera za kambi ya upinzani, na mama yetu ameanza na mguu huo. Huyo mwendazake kafanya vitu ambavyo upinzani huo wa CHADEMA ulipigia kelele kwa zaidi ya miaka 10, ujinga wake ni ujuaji na kukosa taarifa za kutosha.
  2. zinc

    Mradi wa bandari ya Bagamoyo nani mkweli?

    Mradi wa bagamoyo una maadui wa ndani na nje ya nchi. Ndani ya nchi ni TPA hasa dar port, hawataki kabisa kuusikia mradi huu; nje ya nchi kwa upande wa afrika mashariki ni Kenya hawaitaki hii makitu; nje ya nchi kwa upande wa mabara kuna anti-¢hina nadhani wanajulikana (USA, €uropean countries)...
  3. zinc

    Tundu Lissu: Wamilili wa Online Tv walipwe fidia, waliozifungia wachukuliwe hatua, maana Rais amesema zilifungia kimakosa

    Haki hupewi kwa hisani ya mtu, ni ya kuidai tena sheria, kanuni na taratibu zipo.
  4. zinc

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji2765] Nadhani sasa mmeona rashford na martial wameanza kutengenezewa mazingira ya kupigania namba, the rebuilding takes the progress, tutakuja kuwa tishio baadae.
  5. zinc

    Tatizo la kupumua! Jiongeze!

    Wangekuwa Chadema wanaongoza nchi, halafu ndiyo wanafanya upumbavu kama huu wanaofanya serikali yako ya meko, kwa janga hili la corona, usingesema hivyo. We jamaa ni kiazi mbatata kichwani.
  6. zinc

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji2765] Hatimaye mmefufuka, mmerudi kwenye hali ya kuimarisha usajili kwa kutumia server za JF, ili hali hata arteta wenu yupo calm. [emoji2765] Game yenu na Man Utd, safari hii msitarajie mdundiko, this time Man Utd ni serious contender japo hater's hamtaki kabisa kusikia wala kuliona hili...
  7. zinc

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji2765] Leo ushindi muhimu Glory Glory Man Utd!
  8. zinc

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji2765] Tuendelee kunywa mtori, nyama zipo chini.
  9. zinc

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    I love you
  10. zinc

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji2765] Wewe unamuona mtu wa pumba, wafanyabiashara wanamuona chuma cha pua. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. zinc

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Za masiku, ulijificha wapi? Maana we jamaa banah, ila kheri mashabiki wenzako wameshakujua. Ukishinda huyo, ukitobolewa huonekani mwezi mzima
  12. zinc

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Sony wega, iko poa sana. Ina shida ya kioo tu. Bei maelewano.
  13. zinc

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Unaongea pumba we mtu
Back
Top Bottom