Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii Timu ikikufunga Adhabu unayoipata kutoka kwa Washabiki wake bora hata ugongwe na gari utapata afadhali.

Enewey DullyJr wafundishe washabiki wenzako kuandika majina ya Wachezaji wenu kwa usahihi wanayakosea sana.

Girudi ×
Viera ×
Aterta ×
Bellarine ×
Tieney ×

Hayo 👆ni baadhi ya makosa niliyoyaona.

Na pia Muzingatie kuwa #ÖzilLifeMatter
#AdrianLifeDoesn'tMatter 😂
Jibu ni rahisi, tukikutana tena fanya maandalizi utoke na point 3. Kukosea majina sio kitu kikubwa cha msingi mtu anaeleweka
 
Roy Keane juu ya Thomas Partey:

"Kadiri ninavyomtazama, ndivyo ninavyotamani angekuwa katika safu ya kiungo ya [Man] United. Ana nguvu sana..pasi zake zinaenda mbele..anafika maeneo mpira ulipo..Nadhani kijana huyu ana nafasi ya kufanya kile Patrick [Vieira] alikuwa akifanya”
IMG_20201102_191604.jpg
 
Ripoti zinasema siku mbili nyuma Arsenal imefanya kikao na wawakilishi wa Houssem pamoja na kaka yake.

Arteta na Edu wameongea na Houssem pia na wamekubaliana uhamisho utasimamiwa na mtu mwingine siyo kaka mtu.

Hii inaweza kumaanisha Houssem atakuja Arsenal January. Ikatokea deal imekwama anayetazamiwa kuja kuziba nafasi ni Dominick.

Binafsi naona kama uwezekano wa wote wawili kuja upo basi waje wote tu kuna fatique na majeraha.

Pia Arsenal wameambiwa wanapotosha kudai wamepasuka kwa Pablo Mari 16M wakati walipasuka 4M.

Naona Arsenal tumekua Bayern, tunabana matumizi, sasa bado kufanikiwa kwa kutumia rejects wa timu nyingine. Tuanze na Luca Jovic.
 
Ripoti zinasema siku mbili nyuma Arsenal imefanya kikao na wawakilishi wa Houssem pamoja na kaka yake.

Arteta na Edu wameongea na Houssem pia na wamekubaliana uhamisho utasimamiwa na mtu mwingine siyo kaka mtu.

Hii inaweza kumaanisha Houssem atakuja Arsenal January. Ikatokea deal imekwama anayetazamiwa kuja kuziba nafasi ni Dominick.

Binafsi naona kama uwezekano wa wote wawili kuja upo basi waje wote tu kuna fatique na majeraha.

Pia Arsenal wameambiwa wanapotosha kudai wamepasuka kwa Pablo Mari 16M wakati walipasuka 4M.

Naona Arsenal tumekua Bayern, tunabana matumizi, sasa bado kufanikiwa kwa kutumia rejects wa timu nyingine. Tuanze na Luca Jovic.
Huyu Luka, huwaga namfikiria sana, namuona msimu ujao akivaa kiatu cha dhahabu kupitia Arsenal
 
na wewe unakuwa kama dada poa, nimekuona kwenye jukwa la Man U ukiisifia Arsenal ilivyomtandika jana, halafu unakuja huku kuonyesha your hypocrites. Be like a man simamamia unaloliamini.
Fata mambo yako wewe hujui ushabiki ulivyo.
 
Huyu Luka, huwaga namfikiria sana, namuona msimu ujao akivaa kiatu cha dhahabu kupitia Arsenal
Huyo aombwe kwa mkopo. Madrid pale striker akienda anajikuta katika kivuli cha Karim.

Kuna ripoti zinadai tunamkimbizia Isco kwa mkopo. Benchwarmer mwingine wa Madrid ambaye kipaji kipo na umri unaruhusu bado.
 
Roy Keane juu ya Thomas Partey:

"Kadiri ninavyomtazama, ndivyo ninavyotamani angekuwa katika safu ya kiungo ya [Man] United. Ana nguvu sana..pasi zake zinaenda mbele..anafika maeneo mpira ulipo..Nadhani kijana huyu ana nafasi ya kufanya kile Patrick [Vieira] alikuwa akifanya” View attachment 1618646
Za masiku, ulijificha wapi? Maana we jamaa banah, ila kheri mashabiki wenzako wameshakujua. Ukishinda huyo, ukitobolewa huonekani mwezi mzima
 
Arsenal youngster Bukayo Saka has been named as the seventh most valuable wonderkid in Europe’s top five leagues, with team-mates William Saliba, Gabriel Martinelli and Emile Smith Rowe also listed.

Gabriel Martinelli and Saliba come into the list in 26 and 28 with a value of €26.3 Million and €20.9 Million respectively, but worth a snip of the €95.8 Million rated Saka.

Saliba is worth less than the fee paid by the Gunners only last summer, but with his limited playing time since joining because of injury, and the early end to French football last term, it is a reasonable presidence.
IMG_20201023_114726.jpg
 
Castr njoo msikie Ndugu yako

“As a kid, I often played for 10 hours on the street,” Elneny says. “I think that’s when I learned to run and run without a break.” Elneny has the lung capacity of a long-distance athlete. [@guardian]
IMG_20201102_191604.jpg
 
Back
Top Bottom