Jana tu hapo co-host wa kipindi kinachobamba Tanzania nzima power breakfast amepata degree yake ya mass comm kutoka Tumaini University.,.Memberz wote wa JF tunakupongeza kwa hilo..tunataka tuone hyo degree unaifanyia nin na co kubaki tu km urembo..nina iman utakua PJ mwngne co yule msoma...
nahc wew utakuwa kat ya wale watu waliokuwa wanavunja vioo vya madereva waliokuwa wanakataa kugoma.,.mwambie aache bang anaweza akawa m/kit wenu lkn co rais
kwa roho safi tu naomba mbadilishe bendera yenu kwa 7bu zfuatazo
1.haivutii
2.haimshawishi mtu(mgeni kutoka nch za nje) kuwa na hai ya kutaka kukifuatilia chama chenu na kukijua
3.rangi zake hazina uwiano
4.alama ya vidole viwili ni alama inayoashilia amani kwa kuwa nyie co watu wa aman..ndo...
Naogopa ban ndo maana nawaomba kibali enyi wakuu..
Pia naogopa jela ndo mana nawaomba enyi 'tcra' kbali kdogo tu kutoka kwenyu cha kuwatukana hawa watoa huduma ya mawasiliano 'tigo' kwa kuwa cku hz wanaboa mpaka kero na kukata fedha ovo ovo..mfano mdogo tu jana nliweka vocha ya elfu mbili mida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.