Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Habari wana wa mapenzi, mahusiano na urafiki(mamau). Napenda kujitambulisha kwenu kama memba mpya wa haka kautamu. Nimekuwa ni mfuatiliaji mzuri sana wa jf lakini sikuwahi kujiunga na ukurasa huu. Naahidi kutoa ushikirikiano kwa members wote humu. Naamini hakuna udini humu wala usiasa. Nina mengi yanayonisibu hivyo mkisha nikubalia nitayamwaga aisee.