Watangazaji Wetu na elimu zao

Oct 21, 2011
20
4
Bandugu naomba mnpe elimu za hawa watangazaji
1.regina mwalekwa
2.manfred masaku
3.gerald hando
4.maulid kitenge
5.orest kawau
6.masoud kipanya
7.suleiman semunyu
8.arnold kayanda
9.millard ayo
10.scholastica mazulla!
 
Bandugu naomba mnpe elimu za hawa watangazaji
1.regina mwalekwa
2.manfred masaku
3.gerald hando
4.maulid kitenge
5.orest kawau
6.masoud kipanya
7.suleiman semunyu
8.arnold kayanda
9.millard ayo
10.scholastica mazulla!
Toa elimu yako kwanza.
 
Utangazaji ni kipaji na sio elimu, japo nakiri kuwa kuwa na kipaji pekee hakutoshi kukufanya mtangazaji mahiri zama hizi za utandawazi hivyo kuwa na elimu bora ni added advantage.

Kwa vile utangazaji kwanza ni kipaji ndipo elimu inafuatia, hata ukiwa na elimu vipi, bila kipaji ni bure.

Katika vituo vya Utangazaji nchini, TBC ndio inayoongoza kwa madegree holders na cha mwisho kwa kuwa na degree holders wachache zaidi ni Clouds leo nimemsikia mtangazaji mmoja ndio amegraduate Saut.

Japo TBC ndio onayoongoza kwa watangazaji wenye shule kubwa, karibu watangazaji wao wengi wenye vipaji vikubwa, shule zao ni za kawaida na wale shule kubwa vipaji vyao ni hafifu, huku Clouds yenye wenye shule hafifu lakini vipaji vikubwa ndio wanaowashika haswa watazamaji/ wasikilizaji.
 
Utangazaji ni kipaji na sio elimu, japo nakiri kuwa kuwa na kipaji pekee hakutoshi kukufanya mtangazaji mahiri zama hizi za utandawazi hivyo kuwa na elimu bora ni added advantage.

Kwa vile utangazaji kwanza ni kipaji ndipo elimu inafuatia, hata ukiwa na elimu vipi, bila kipaji ni bure.

Katika vituo vya Utangazaji nchini, TBC ndio inayoongoza kwa madegree holders na cha mwisho kwa kuwa na degree holders wachache zaidi ni Clouds leo nimemsikia mtangazaji mmoja ndio amegraduate Saut.

Japo TBC ndio onayoongoza kwa watangazaji wenye shule kubwa, karibu watangazaji wao wengi wenye vipaji vikubwa, shule zao ni za kawaida na wale shule kubwa vipaji vyao ni hafifu, huku Clouds yenye wenye shule hafifu lakini vipaji vikubwa ndio wanaowashika haswa watazamaji/ wasikilizaji.

redand bolded: Naomba kujua 'authority' ya hii kauli yako mkuu, vinginevyo fafanua!
 
Elimu zao zitakusaidia nini? Acha wivu wa kijinga wewe ambaye una degree umeisaidia nini jamii yako? Watu wenye mafanikio aka wanaorun town hawana elimu kubwa fyi we kaa na degree lako kufatilia maisha ya watu wkt huna hata banda la vyumba viwili au hata starlet
 
Watu ambao hawana degree huwa wakali sana, kipaji na elimu ni vitu viwili tofauti, kipaji nakikubali but elimu inakupa wigo mpana wa ufahamu na kuelewa mambo. No wonder watangazaji wetu wanaongea ujinga mwamzo mwisho...
Elimu ya yule A.Aleikum wa Radio Mawing waliibandika some times back pale kwenye notice board (canteen opp na old Daruso's office).
 
Utangazaji ni kipaji na sio elimu, japo nakiri kuwa kuwa na kipaji pekee hakutoshi kukufanya mtangazaji mahiri zama hizi za utandawazi hivyo kuwa na elimu bora ni added advantage.

Kwa vile utangazaji kwanza ni kipaji ndipo elimu inafuatia, hata ukiwa na elimu vipi, bila kipaji ni bure.

Katika vituo vya Utangazaji nchini, TBC ndio inayoongoza kwa madegree holders na cha mwisho kwa kuwa na degree holders wachache zaidi ni Clouds leo nimemsikia mtangazaji mmoja ndio amegraduate Saut.

Japo TBC ndio onayoongoza kwa watangazaji wenye shule kubwa, karibu watangazaji wao wengi wenye vipaji vikubwa, shule zao ni za kawaida na wale shule kubwa vipaji vyao ni hafifu, huku Clouds yenye wenye shule hafifu lakini vipaji vikubwa ndio wanaowashika haswa watazamaji/ wasikilizaji.

Duh! Kwa taarifa yako kila KITU ni KIPAJI, so ELIMU ni MUHIMU.
 
Watu ambao hawana degree huwa wakali sana, kipaji na elimu ni vitu viwili tofauti, kipaji nakikubali but elimu inakupa wigo mpana wa ufahamu na kuelewa mambo. No wonder watangazaji wetu wanaongea ujinga mwamzo mwisho...
Elimu ya yule A.Aleikum wa Radio Mawing waliibandika some times back pale kwenye notice board (canteen opp na old Daruso's office).

Wewe mwenye degree umelifanyia nini taifa lako? Nenda IJMC kawachukue watangazaji uwaajiri kwenye radio yako
 
redand bolded: Naomba kujua 'authority' ya hii kauli yako mkuu, vinginevyo fafanua!
Ndyoko, authority ni mimi mwenyewe. Nawajua watangazaji, najua elimu zao. najua what it takes kuwa mtangazaji mzuri na nawajua watangazaji wenye vipaji, wenye vipaji na wasio na shule kubwa, wenye vipaji na shule kubwa, nawajua hata wenye shule kubwa na wasio na vipaji. Nina list ya top ten watangazaji bora, top 20 mpaka top 50! (naomba usiniombe kuwataja, great thinkers wanajishughulisha zaidi na ideas na sio people).

Tanzania tuna wastani wa Watangazaji wazuri kama 300 tuu, kati ya hao, 50 wako vituo vya nje ya nchi na 250 ndio wako nchini.

Kati ya 250 hao, 100 wako Dar na 150 ndio wametapakaa kungine kote.

Sasa kati ya watangazaji wetu top 10 na top 20 hakuna mwenye degree ni vipaji tuu!.
 
duh siku hizi ukiwa celebrite jiandae kuulizwa kiwango cha elimu yako......................
 
Hii umeitoa wapi ama nawe ni walewale.Mtu anatakiwa awe na kipaje then anaongezea uwezo kupitia shule kwa fani aliyonayo ili kuongeza ufanisi
Utangazaji ni kipaji na sio elimu, japo nakiri kuwa kuwa na kipaji pekee hakutoshi kukufanya mtangazaji mahiri zama hizi za utandawazi hivyo kuwa na elimu bora ni added advantage.

Kwa vile utangazaji kwanza ni kipaji ndipo elimu inafuatia, hata ukiwa na elimu vipi, bila kipaji ni bure.

Katika vituo vya Utangazaji nchini, TBC ndio inayoongoza kwa madegree holders na cha mwisho kwa kuwa na degree holders wachache zaidi ni Clouds leo nimemsikia mtangazaji mmoja ndio amegraduate Saut.

Japo TBC ndio onayoongoza kwa watangazaji wenye shule kubwa, karibu watangazaji wao wengi wenye vipaji vikubwa, shule zao ni za kawaida na wale shule kubwa vipaji vyao ni hafifu, huku Clouds yenye wenye shule hafifu lakini vipaji vikubwa ndio wanaowashika haswa watazamaji/ wasikilizaji.
 
Ndyoko, authority ni mimi mwenyewe. Nawajua watangazaji, najua elimu zao. najua what it takes kuwa mtangazaji mzuri na nawajua watangazaji wenye vipaji, wenye vipaji na wasio na shule kubwa, wenye vipaji na shule kubwa, nawajua hata wenye shule kubwa na wasio na vipaji. Nina list ya top ten watangazaji bora, top 20 mpaka top 50! (naomba usiniombe kuwataja, great thinkers wanajishughulisha zaidi na ideas na sio people).

Tanzania tuna wastani wa Watangazaji wazuri kama 300 tuu, kati ya hao, 50 wako vituo vya nje ya nchi na 250 ndio wako nchini.

Kati ya 250 hao, 100 wako Dar na 150 ndio wametapakaa kungine kote.


Sasa kati ya watangazaji wetu top 10 na top 20 hakuna mwenye degree ni vipaji tuu!.
Tafadhali ainisha chanzo cha hizo takwimu zako isije ikawa unadanganya Jukwaa
 
Wewe mwenye degree umelifanyia nini taifa lako? Nenda IJMC kawachukue watangazaji uwaajiri kwenye radio yako


Acha kujifariji mkuu, naona povu linakutoka mdomoni kwa kupanic, we rudi shule mkuu. Wanawapenda nyie mnaojiita wenye vipaji bila shule coz ni very cheap labor.
 
Ndyoko, authority ni mimi mwenyewe. Nawajua watangazaji, najua elimu zao. najua what it takes kuwa mtangazaji mzuri na nawajua watangazaji wenye vipaji, wenye vipaji na wasio na shule kubwa, wenye vipaji na shule kubwa, nawajua hata wenye shule kubwa na wasio na vipaji. Nina list ya top ten watangazaji bora, top 20 mpaka top 50! (naomba usiniombe kuwataja, great thinkers wanajishughulisha zaidi na ideas na sio people).

Tanzania tuna wastani wa Watangazaji wazuri kama 300 tuu, kati ya hao, 50 wako vituo vya nje ya nchi na 250 ndio wako nchini.

Kati ya 250 hao, 100 wako Dar na 150 ndio wametapakaa kungine kote.

Sasa kati ya watangazaji wetu top 10 na top 20 hakuna mwenye degree ni vipaji tuu!.
Hamna kitu kama hicho mkuu we nenda shule tu acha kujifariji hapa.
 
Back
Top Bottom