Zege Halilal ZH
Member
- Oct 21, 2011
- 20
- 4
Naogopa ban ndo maana nawaomba kibali enyi wakuu..
Pia naogopa jela ndo mana nawaomba enyi 'tcra' kbali kdogo tu kutoka kwenyu cha kuwatukana hawa watoa huduma ya mawasiliano 'tigo' kwa kuwa cku hz wanaboa mpaka kero na kukata fedha ovo ovo..mfano mdogo tu jana nliweka vocha ya elfu mbili mida ya saa 12 jion hv,na nkaongea na mtu kwa dakika 7.31 sasa je hi ndo sote n ndugu?
Na hata muda mwngne mtu anakupgia simu anaaambiwa hupatkan wakat upo hewan..sasa hi nin?au ndo mmelewa cfa?..na ksha mnapunguza gharama nyakat za ucku..sasa mm niache kupumzka ucku niongee na cm??? Wakat maandko yanasema 'ole wenu kwa mtakaogeuza ucku kuwa mchana'..
Namuandaa mwanasheria wangu niwashtaki kwa kuwa ushahid ninao kwa kukiuka mkataba wangu na nyie(tgo) wakat najisajil..
Yan mmenkosesha dil kbao na hata 'honey moon' wangu analalamika namzmia cm kumbe 7bu ni ninyi..
Angalizo ;
Kama nikiachwa i swear nakuja kuwaoa nyie na mtanpa alvyokuwa ana nipa 'honey moon' wangu
nasubiri kibali
Pia naogopa jela ndo mana nawaomba enyi 'tcra' kbali kdogo tu kutoka kwenyu cha kuwatukana hawa watoa huduma ya mawasiliano 'tigo' kwa kuwa cku hz wanaboa mpaka kero na kukata fedha ovo ovo..mfano mdogo tu jana nliweka vocha ya elfu mbili mida ya saa 12 jion hv,na nkaongea na mtu kwa dakika 7.31 sasa je hi ndo sote n ndugu?
Na hata muda mwngne mtu anakupgia simu anaaambiwa hupatkan wakat upo hewan..sasa hi nin?au ndo mmelewa cfa?..na ksha mnapunguza gharama nyakat za ucku..sasa mm niache kupumzka ucku niongee na cm??? Wakat maandko yanasema 'ole wenu kwa mtakaogeuza ucku kuwa mchana'..
Namuandaa mwanasheria wangu niwashtaki kwa kuwa ushahid ninao kwa kukiuka mkataba wangu na nyie(tgo) wakat najisajil..
Yan mmenkosesha dil kbao na hata 'honey moon' wangu analalamika namzmia cm kumbe 7bu ni ninyi..
Angalizo ;
Kama nikiachwa i swear nakuja kuwaoa nyie na mtanpa alvyokuwa ana nipa 'honey moon' wangu
nasubiri kibali