SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
2015 Kupitia Chama Chake.
Crap...2015 Kupitia Chama Chake.
NI wazo ka kila mwana siasa kuwa Rais siku moja, time will tell.
Mbona ni Rais tayari
nahc wew utakuwa kat ya wale watu waliokuwa wanavunja vioo vya madereva waliokuwa wanakataa kugoma.,.mwambie aache bang anaweza akawa m/kit wenu lkn co rais
2015 Kupitia Chama Chake.
Halafu atakuwa ana andamana kwenda wapi?
2015 Kupitia Chama Chake.
Halafu atakuwa ana andamana kwenda wapi?
ziko nafasi kubwa tu zinaweza kumfaa Lema lakini sio Urais... anafaa kua waziri wa mambo ya ndani lakini sio ukuu wa dola.
Mbona ni Rais tayari